In a real sense, hamasi ndio wanaoua raia wa palestina:-
1. Wameweka military base kwenye makazi ya raia. Israel anaposhambulia hizo bases, na raia wanaathirikia.
2. Israel amewaambia raia waondoke kwenye maeneo ya vita, hamasi anawazuia.
3. Raia wanapokataa kutumiwa kama ngao, wanakula kichapo cha mbwa mwitu.
4. Hamasi hawavai sare wala hawana identity ya wazi. Wanapolipua mizinga, hao hao wanakuwa raia na israel inaposhambulia hao waliojibadili kuwa raia wanakufa lakini essentially ndio walipuaji mizinga.
5. Hamasi wakipigwa wanakimbilia hospitalini na mashuleni kujificha. Hapo ni kuwatoa mhanga wadau wa vituo hivyo.
6. Hamasi anashindwa kumanage makombora yanaangukia pale pale na kwa kuwa kawazuia raia kukaa mbali na majeshi, wanakufa halafu anasingizia Israel.
7. Uchokozi wa hamasi wa kuwateka na kuwaua watoto wa Israel kwa ajili ya kutimiza ibada zao za mashetani ndio chanzo cha mauaji ya wa palestina na ambayo hamasi wanayakumbatia.
HAMASI NDIO WANAOWAMALIZA WAPALESTINA.
IDF, wanaji Identify kwa sababu wana dhamira ya kweli ya kulinda nchi yao na raia wao. Wanawalinda raia na ndiyo maana Hamasi hawafikii.
Kikubwa kuliko yote Israel ana Mungu upande wake wakati hamasi hawana Mungu ila wana mungu.