Machame Juu
JF-Expert Member
- Jul 25, 2013
- 1,514
- 3,379
Wanamgambo wa Kundi la kigaidi la Palestina HAMAS wanaishi kama digidigi kwa hofu na kujificha.
Hawaaminiani na hawaamini yeyote. Hii ni baada ya zaidi ya makamanda wao na wanamgambo zaidi ya 150 kuuliwa na jeshi la Israel.
Shin Bet imepandikiza mamluki Gaza hadi Hamas na ndio wanaelekeza nakusaliri wapalestina wenzao walipo.
Makamanda wawili wenye vyeo vya juu Hamas Mohammed Deif Yasin Anwar walikoswakoswa kuuliwa na makombora baada ya kuhama walipo.
Hawakai sehemu moja zaidi ya masaa mengi wanahamahama kila mara wanawahofia wapalestina wenzao kuliko hata jeshi la Israel.
Wamebaki kuishi kama digidigi ambapo wenyewe walianza uchokozi.
Hawaaminiani na hawaamini yeyote. Hii ni baada ya zaidi ya makamanda wao na wanamgambo zaidi ya 150 kuuliwa na jeshi la Israel.
Shin Bet imepandikiza mamluki Gaza hadi Hamas na ndio wanaelekeza nakusaliri wapalestina wenzao walipo.
Makamanda wawili wenye vyeo vya juu Hamas Mohammed Deif Yasin Anwar walikoswakoswa kuuliwa na makombora baada ya kuhama walipo.
Hawakai sehemu moja zaidi ya masaa mengi wanahamahama kila mara wanawahofia wapalestina wenzao kuliko hata jeshi la Israel.
Wamebaki kuishi kama digidigi ambapo wenyewe walianza uchokozi.