ndio maana nikasema kuwa mtoa hioja alikuwa na hoja ya kimsingi lakini sasa kaingiza suala zima la udini kitu ambacho mimi nimekiona kuwa hakiendani na mkitadha wenyewe wa hamadi kufukuzwa ndani ya chama. na hata ivo swali la kijiuliza ni kwamba waliomfukuza Huyu RASHIDI ni wana CUF wenyewe na tena ni waislam sasa dhana ya udini imetoka wap[i aktika hii?
labda mh mtoa hoja ajalibu tu kuelewa tu HAMADI ni nani ndani ya nchi yetu ya tanzania ilipaswa aelewe tu kwamba Hamadi amekuwa kama moja wapo ya mhasisi wa chaa hiki cha CUF na vile amewai kuwa kiongozi wa kambi ya upinzani bungeni, na hata ivo ikumbkwe kuwa suala la leo hii seif kuwa makamu wa kwanza wa raisi uapande wa zanzaibar akian hamadi walishiriki vya kutosha. Na kam ani suala la akian werema kuingilia kati hiyo sio hoja kwani akina werema nao ni watanzania na wana hakim ya kuzungumza katika hilo na hat ivo hoja ya akia werema haikuwa ya udini hata kidogo
jamani tisipende kukimblia amsuala ya udini hata pasipo na udini suala la kimsingi hapa tuangalie hoja ya kimsing ya hamadi kufukuzwa kama ni aya kimsingi na sio udini