Hamad Rashid na wenzake mahakamani leo

Hamad Rashid na wenzake mahakamani leo

Mbona usemi Dhambi ya UDINI inavyowatafuna huko Tanganyika.

Au ndio funika kombe mwanaharamu apite..

Nakupa pole.

Udini upi huo "Tanganyika?"
Unanisikitisha sana na point less zako...naona nikukumbushe tu kwamba.....kioo kikichafuka hufutwa lakini kikivunjika huondolewa.
 
Waziri wa Serikali ya Mapinduzi, Duni Haji, amepokea maandamano, ambapo katika moja ya risala msomaji amesema kuwa Hamad ameshapoteza nafasi zake zooote ndani ya chama, wanataka na vyombo vingine kutambua hivyo! Duni mwenyewe amesikika akisema kuwa zama za Hamad zimekwisha kabisa!

Hapa hakuna dalili za pressure za kwa mahakama ili ifanye maamuzi kwa mujibu wa presha hizo? Kwa nini waziri wanashiriki katika masuala kama hayo ambayo yanaweza kuzua mgogoro baina ya mhimili miwili, serikali na mahakama? Hivi Jaji anayesimamia kesi hiyo hawezi kufanya hiyo kuwa mojawapo ya sababu hata kujitoa katika kesi kuwa kuna outside pressure katiuka kesi hiyo kutaka maamuzi yachukuliwe wanavyotaka wao "tunataka vyombo vingine vione hivyo".

Wanasheria mwaweza kutusaidia plz?
 
Wabara siku zote ni kuona Znz kuna malumbano na nchi haindelei. Maendeleo ya Znz kiuchumi yanawachoma sana wa Tanganyika.

Sasa Hamad is Out na nchi itaendelea. Walifukuzwa watu maarufu kuliko Hamad akina Naila Majid Jidawi, Mapalala, Frank Magoba , Rwekatare na wengine wengi lakin chama kinaendelea.

Kumbukeni chama sio genge la wahuni ni lazima mfuate sheria na kanuun walizojiwekea sio kwenda kinyume nazo kwani kufanya hivyo ni usaliti na adhabu yake ni kufukuzwa. Na ndilo lililompata Hamad Rashid
Kukaa kwako Oman kumekufanya usielewe vizuri unayoandika hapa.
Hao ulio list hapo una hakika walifukuzwa cuf???? Msomi tena dk unayeandika vitu bila kufanya utafiti ni msomi wa wapi???
Hebu nitajie kila kikao kilichomfukuza kila mmoja wa uliowataja kaka.
 
Kumbe mambo ni rahisi namna hii, unakwenda mahakamani tu halafu kikao cha chama fulani kinazuiwa. Ngoja mwezi wa pili kibwetere ajaribu tuone.
 
u
CUF wamevunja katiba ya nchi, ni chama kinachopaswa kufutwa kwenye daftari la Msajili wa vyama vya siasa na si vinginevyo, kudharau amri ya Mahakama ni kosa kubwa sana kwenye nchi yeyote inayofuata utawala wa sheria.

Wana CDM mnafurahisha sana! Muna SELECTIVE MEMORY! Mmesahau mwaka jana tu mwenyekiti wenu DJ Mbowe alikaidi amri ya mahakama Arusha akapelekwa na dege la jeshi? Mlitoa mapovu hapa na kuandamana! Leo mnaona hii ni BIG DEAL?
 
Maana ya kufuata sheria ni nini? ni pamoja na kukatazwa na mahakama kusikiliza shauri na kutii au kukaidi? tueleze.

Kiungwana si vizuri kuzungumzia kitu ambacho kipo mahakamani na kufikia kutoa maamuzi kabla mahakama haijaamua.

Tuipe nafasi mahakama ifanye kazi zake pasi na kuingiliwa na maneno yetu. Kuwa na subra mahakama itaamua na kujua nani mkosa miongoni mwao..

 
Kuna tetesi kuwa Hamad Rashid kesho ijumaa mosi atakwenda wawi kwa mara ya kwanza tokea afukuzwe.

Sababu anaona pale habari maelezo hakuna wanahabari wote wapo wanahughulika na mgomo wa ma Dr.

Pole sana Hamad. Ulimi umekiponza kichwa.

Ulipanda Upepo sasa unavina dholba.

 
"Nazungumza nikiwa kama katibu mkuu wa CUF kwa niaba ya uongozi wa Chama chetu sisi hatujapokea amri ya Mahakama, nasisitiza tena, hatujapokea Mahakama hadi muda huu". Maalim Seif Shariff Hamad, tarehe 21/01/2012, Gombani ya Kale, Pemba.
 
Kuna tetesi kuwa Hamad Rashid kesho ijumaa mosi atakwenda wawi kwa mara ya kwanza tokea afukuzwe.

Sababu anaona pale habari maelezo hakuna wanahabari wote wapo wanahughulika na mgomo wa ma Dr.

Pole sana Hamad. Ulimi umekiponza kichwa.

Ulipanda Upepo sasa unavina dholba.


Barubaru vp?!! Mbona unachonga Kabla ya tukio?....hofu ya nini tena Kama mnajiamini kuimaliza HR kisiasa? Uko Oman basi malaika wako watakuwakilisha na niwaombe wale wooote wanaompinga Hamad basi watutaarifu yatakayojiri!! Na mkutano wa kuwaziba midomo Ni Jumapili.....unakaribishwa
 
"Nazungumza nikiwa kama katibu mkuu wa CUF kwa niaba ya uongozi wa Chama chetu sisi hatujapokea amri ya Mahakama, nasisitiza tena, hatujapokea Mahakama hadi muda huu". Maalim Seif Shariff Hamad, tarehe 21/01/2012, Gombani ya Kale, Pemba.

Dah!! Siamini Kama INJI hii hadi MAKAmu wa Rais muongo namna hii.....ndio maana vitu vinakwenda ndivyosivyo.....mwambie a subiri tar.13 march 2012.....ndio atajua Kama aliipokea AMA la....jeeela jela Ni mbayaa.
 
Dah!! Siamini Kama INJI hii hadi MAKAmu wa Rais muongo namna hii.....ndio maana vitu vinakwenda ndivyosivyo.....mwambie a subiri tar.13 march 2012.....ndio atajua Kama aliipokea AMA la....jeeela jela Ni mbayaa.

Kwa maelezo haya sina shaka wewe ndiye Hamad Rashid mwenyewe!!! Bravooooo mkuu kwa kuwepo hapa JF! Jina la BWANA lihidimiwe!
 
Kwa maelezo haya sina shaka wewe ndiye Hamad Rashid mwenyewe!!! Bravooooo mkuu kwa kuwepo hapa JF! Jina la BWANA lihidimiwe!

Teh teh!! Nashukuru kwa kunibatiza....Sijui ndo kunislimisha lakini mimi muislam safi na jina langu Ni Hasan nilopewa na wazazi wangu sio Hamad.....vp lakini c utahudhuria?!!
 
Waache wafu wawazike wsafu wao...
Nadhani kuna mijadala muhimu kuliko hiki chama mfu!!!!
 
Barubaru vp?!! Mbona unachonga Kabla ya tukio?....hofu ya nini tena Kama mnajiamini kuimaliza HR kisiasa? Uko Oman basi malaika wako watakuwakilisha na niwaombe wale wooote wanaompinga Hamad basi watutaarifu yatakayojiri!! Na mkutano wa kuwaziba midomo Ni Jumapili.....unakaribishwa


yetu macho na masikio yatasikia.

Kila la kheir

Siku zote ukipanda upepo, utavuna ...
 
Back
Top Bottom