Hawa TBC1 kwa nini wasiwainvolve CDM au NCCR ili kuboresha mjadala huu
" nature ya watu wanaowatumia kujadili suala hili haionyeshi umakini wake nasema hivi kwa sababu Lissu amekuwa gumzo bungeni na CDM yake sasa kwa nini asiitwe yeye aje aeleze kwa undani maana ya kauli yake au akosolewe peupe "
Hii ya kuwatumia kila siku CCM & CUF eg jana hainogi kabisaaaa badilisha ladha