Mwaka wa jana nilinunua line yenu ya simu, niliitumia lakini baada ya muda nilisitisha kuitumia kutokana na kukerwa na baadhi ya huduma zenu. Mwaka huu kuna siku nilienda kuitoa kwenye tranka ili niitumie lakini haikusoma mtandao. Je hua muna utaratibu wa kufungia line zisizo tumika? . Inachukua muda gani line isiyo tumika kufungwa?. Je kuna namna ya kufanya niweze kurejeshewa line(namba) yangu iliyofungiwa?.