mansakankanmusa
JF-Expert Member
- Sep 30, 2010
- 4,163
- 787
Ni kubwa chopa labda useme unatumia device ganiKwanini speed yenu ya internet imekuwa slow Sana
Karibu mwezi sasa speed iko chini mwanzo ilikuwa iko vizuri saiv siwezi kuangalia movies au mpira online inakwama kwama SanaNi kubwa chopa labda useme unatumia device gani