Hawajafunga 3G minara yao yote.
Kwenye district ambayo ninaisimamia mimi tokea tunaanza kuingia mikataba na wenye maeneo hadi kumaliza ujenzi wa towers, siyo minara yote tuliyofunga 3G japo minara mingi ni ya 3G.
Leo niliamua ninunue laini ya hawa jamaa nijaribu ubora wao kwenye internet kusema kweli wamekidhi vigezo sijawahi fikia speed hii kwenye modemu, shida vocha zao tu zinasumbua mpaka urushiwe.
nimeshindwa ku updload picha sababu ya matatizo ya jamii forums ila speed ni above 4.76Mbps ambayo sijawahi ipata kabisa kwa mitandao mingine.
NB: nimedownload movie ya the battle of stanligrad 386MB kwa dakika 7 tu.
ina wateja wachache ila kuna jamaa yangu yupo kitengo cha optmization kaniambia hilo ndio lengo lao.
kwa kutumia kodi auHapa naangalia ligi ya uingereza kwenye laptop yangu kwa raha zangu, Asante halotel
asante kwa kutuelimisha hilo maana wao wanajinasibu kuwa wamefunga 3g minara yote.
Mkuu nasikia hawa jamaa wamewekewa speed governor ili wasithreat mafisadi ,vodacom,airtel,tigo maana haiwezekani kamponi changa inaanza na vifurushi vya gharam hivy ,mara mb 8
kwa kutumia kodi au
4G ya tigo iko vizuri sana na ni affordable..kama unataka kushusha movies subiri saa 5 usiku wakikupa zile GB 15...connect Mobile Hotspot na wireless ya PC...unapata speed ya 4G kwnye computer..utadownload mpaka download yenyewe iseme download download!
Hivi halotel na smart ni kitu kimoja ama??
kwa kutumia kodi au