vampire123
JF-Expert Member
- Apr 17, 2016
- 1,285
- 820
Mi nilizani mm tu
Du! kumbe hadi uwafuate ofisini sisi tulio mbalimbali na Ofisi zao ni kuachana nao tu, maana hata ukiwatafuta kupitia namba ya huduma kwa wateja huwapati.was facing the same issue mpaka nikawaeendea pale ofisini victoria.
tangu jumanne nimejiunga kifurushi cha buku MB hadi leo kinapiga tu
Mkuu karibu huku kwetu maisha ni rahisi sana achana nao hao.Wakuu Salaam sanaa bhana hawa jamaa wakati wanaanza waliturubuni sanaa natukaona hapa tumepata suluisho la matatizo yetu ktk mitandao
Lakini kadri siku zinavyo songa mbele wamelewa sifa na kuvurunda kabisa
Unajiunga kifurushi cha 10000 elfu
Kinaisha bila kujua kimeisha vipi Kibaya zaidi mtandao umekuwa taratiibu Yaani polepoleee kama Bwana yule wa lumumba
inakera sanaa Unafungua Kitu Mtandaoni dakika kumi nzima hakifunguki alafu ukija kutizama Mb zimepuputika hatari Sio uungwana huu
Halotel tunaomba mbadilike uchumi saivi umekuwa magumashi msitutumie sisi kuingiza kipato ilhali hamtupi kilicho bora:
Nimewapigia simu wamenipa masaa 24 Tatizo lita kwisha lakini wapi Yaaani unakuwa kama unatumia tecno m3
Upokeeni ujumbe wangu Mnakera mnaboa sanaa sanaa Boresheni uduma zenu kama awali