Halotel Mnakera Kwahili Uvumilivu Umenishinda

Chibudee

JF-Expert Member
Dec 28, 2016
1,775
2,397
Wakuu Salaam sanaa bhana hawa jamaa wakati wanaanza waliturubuni sanaa natukaona hapa tumepata suluisho la matatizo yetu ktk mitandao

Lakini kadri siku zinavyo songa mbele wamelewa sifa na kuvurunda kabisa
Unajiunga kifurushi cha 10000 elfu

Kinaisha bila kujua kimeisha vipi Kibaya zaidi mtandao umekuwa taratiibu Yaani polepoleee kama Bwana yule wa lumumba

inakera sanaa Unafungua Kitu Mtandaoni dakika kumi nzima hakifunguki alafu ukija kutizama Mb zimepuputika hatari Sio uungwana huu

Halotel tunaomba mbadilike uchumi saivi umekuwa magumashi msitutumie sisi kuingiza kipato ilhali hamtupi kilicho bora:

Nimewapigia simu wamenipa masaa 24 Tatizo lita kwisha lakini wapi Yaaani unakuwa kama unatumia tecno m3

Upokeeni ujumbe wangu Mnakera mnaboa sanaa sanaa Boresheni uduma zenu kama awali
 
Wakuu Salaam sanaa bhana hawa jamaa wakati wanaanza waliturubuni sanaa natukaona hapa tumepata suluisho la matatizo yetu ktk mitandao

Lakini kadri siku zinavyo songa mbele wamelewa sifa na kuvurunda kabisa
Unajiunga kifurushi cha 10000 elfu

Kinaisha bila kujua kimeisha vipi Kibaya zaidi mtandao umekuwa taratiibu Yaani polepoleee kama Bwana yule wa lumumba

inakera sanaa Unafungua Kitu Mtandaoni dakika kumi nzima hakifunguki alafu ukija kutizama Mb zimepuputika hatari Sio uungwana huu

Halotel tunaomba mbadilike uchumi saivi umekuwa magumashi msitutumie sisi kuingiza kipato ilhali hamtupi kilicho bora:

Nimewapigia simu wamenipa masaa 24 Tatizo lita kwisha lakini wapi Yaaani unakuwa kama unatumia tecno m3

Upokeeni ujumbe wangu Mnakera mnaboa sanaa sanaa Boresheni uduma zenu kama awali
Hamia sasatel
 
Mbona Mimi 1000(Elfu 1)
Wiki bila.shida cha chuo .Au wafuate physically
 
Back
Top Bottom