Mtandao upo sawa sema MB wamepenguza sana au ni hizi faini wanazopigwa wanazihamishia kwenye MBRejea kichwa cha hbr hapo juu,yaani Huu mtandao wa Halotel kwa Sasa haufai kabisa,uko slow hata mwend wa kinyonga mkubwa mwanzo walianza kwa mbwembwe,ila Sasa wamelewa sifa basi ndio shida kabisa, kama hawata jirekebisha watapoteza wateja,
Sent using Jamii Forums mobile app
dah ili kwel kabisa yan mb 250 kuisha ndan ya siku moja kwa matumizi tu madogo ya social media noma sana......tatzo pekee la halotel ni MBs kuisha mapema ila kwenye kasi bado wapo vizuri sana
Sent using Jamii Forums mobile app
Vodacom wameanza kuwa kama AirtelVodacom nao wameanza tabia ya kuwa slow
Halotel kwa net wapo vizuri. ubaya hawana hata freebasicsAcheni kusema vibaya sijawahi ona mtandao bora kama Halotel mpaka sasa
Sent using Jamii Forums mobile app
Rejea kichwa cha hbr hapo juu,yaani Huu mtandao wa Halotel kwa Sasa haufai kabisa,uko slow hata mwend wa kinyonga mkubwa mwanzo walianza kwa mbwembwe,ila Sasa wamelewa sifa basi ndio shida kabisa, kama hawata jirekebisha watapoteza wateja,
Sent using Jamii Forums mobile app
Sidhani kama atakubaliana nawe, lakini ukweli ndio huoSio kweli. Itakuwa simu yako kimeo ndugu