Rejea kichwa cha hbr hapo juu,yaani Huu mtandao wa Halotel kwa Sasa haufai kabisa,uko slow hata mwend wa kinyonga mkubwa mwanzo walianza kwa mbwembwe,ila Sasa wamelewa sifa basi ndio shida kabisa, kama hawata jirekebisha watapoteza wateja,
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app