BUMIJA
JF-Expert Member
- Oct 19, 2011
- 6,182
- 11,782
Mida hii katika taarifa ya habari TBC ni kua walimu wamegoma leo huko baada ya matatizo ya muda mrefu.Baadhi ya waliohojiwa wamesema mtu anafanya kazi miaka15 hajawahi pewa hela ya likizo,mtu anaanza kazi anakaa miezi 3 halipwi mshahara ila salary slip zinaonekana.Mwalimu anaajiriwa alafu anakaa miaka 7 hapandi daraja wala kuthibitishwa.Ama kweli walimu hawataki upuuzi tena.