mvetenam kambodia
Senior Member
- Mar 20, 2018
- 149
- 92
Katika agizo la or-tamisemi la kuwaagiza wakurugenzi kuwarejesha watumishi wote wa darasa la vii walio waondoa kazini kwa makusudi na kwa manufaa yao binafsi,hadi kufikia leo hakuna utekelezaji wala mtumishi yeyote kurejeshwa kazini,mashaka yaliyopo kwenye jamii kuchelewa kwao kuna kamgomo baridi au nafasi hizi walizipatia chochote wanamashaka takukuru kuwa ingilia ,wana jf iyo ikoje wataalam wa sheria.MVOMERO ni shida sana.