Watakuwa wameandika vizuri bila kufuta futa na kutunza rekodi yao ya mapato na matumizi ila upigaji uko pale pale.. Mmoja anajua kuweka rekodi vizuri ukikagua unaona ok, kumbe kapiga, mwingine hajui kuweka rekodi vizuri ndio inaonekana imepigwa wazi..!!
Huyo dada kakomaa sana hapo na sketi rangi ya damu ni ww? Una sura na miguu migumu jamani, duh..!!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.