Geofrey Andrew Sanga
JF-Expert Member
- Apr 8, 2013
- 251
- 55
NALIJUA SANA SOKO HILI LIKO MTAA WA SOKONI MWENYEKITI MTAA NI CHADEMA DIWANI WA KATA IGAWILO CHADEMA LILIPO SOKO NA MBUNGE NA MEYA NA NAIBU WOTE CHADEMA MNAPASWA KUONYESHA MFANO ILI TUWACHAGUE NA HAPA DODOMA TUWAPE MUONGOZE POLENI ILA MBUNGE WENU SIO NDIYO SUGU ET?Du hii haijakaa poa mamlaka husika fuatilieni hili fasta kabla yule jamaa hajawaibukia.
KAKA NI KWELI HAMNA JIPYA KABISA NI MBWEMBWEMbeya mmechagua mpiga dili
Una ajenda ya siri na mr. 2 aka suguJamani wahusika soko la uyole ni hatari kwa wananchi serikali ya jiji mmeshindwa kujenga choo na kilichopo ni cha shimo na kimejaa kama picha inavyoonyesha hapo chini (samahani kwa picha ila ndo hali halisi) na cha ajabu zaidi hili ndiyo soko la pili kwa ukubwa jijini mbeya . Na lipo mtaa wa sokoni kata ya igawilo jijini hapa. NA UTAFITI WA HARAKA UNAONYESHA HII NI HATARI NA INASAMBAZA MAGONJWA MENGI SANA HASA KWA KINA MAMA. swali kwa jiji mnataka mlipuko wa magonjwa utokee ndo mshituke au mnamsubiri Magufuli? aje atumbue
''Raisi'' wao Mr Sugu anakula maraha DarJamani wahusika soko la uyole ni hatari kwa wananchi serikali ya jiji mmeshindwa kujenga choo na kilichopo ni cha shimo na kimejaa kama picha inavyoonyesha hapo chini (samahani kwa picha ila ndo hali halisi) na cha ajabu zaidi hili ndiyo soko la pili kwa ukubwa jijini mbeya . Na lipo mtaa wa sokoni kata ya igawilo jijini hapa. NA UTAFITI WA HARAKA UNAONYESHA HII NI HATARI NA INASAMBAZA MAGONJWA MENGI SANA HASA KWA KINA MAMA. swali kwa jiji mnataka mlipuko wa magonjwa utokee ndo mshituke au mnamsubiri Magufuli? aje atumbue
nakufahamu vyema una chuki binafsi na chadema, ndio maana ukahamia act na uligombea udiwan ukapata kura 25Jamani wahusika soko la uyole ni hatari kwa wananchi serikali ya jiji mmeshindwa kujenga choo na kilichopo ni cha shimo na kimejaa kama picha inavyoonyesha hapo chini (samahani kwa picha ila ndo hali halisi) na cha ajabu zaidi hili ndiyo soko la pili kwa ukubwa jijini mbeya . Na lipo mtaa wa sokoni kata ya igawilo jijini hapa. NA UTAFITI WA HARAKA UNAONYESHA HII NI HATARI NA INASAMBAZA MAGONJWA MENGI SANA HASA KWA KINA MAMA. swali kwa jiji mnataka mlipuko wa magonjwa utokee ndo mshituke au mnamsubiri Magufuli? aje atumbue
ulitaka sugu aww maskini ka we?NALIJUA SANA SOKO HILI LIKO MTAA WA SOKONI MWENYEKITI MTAA NI CHADEMA DIWANI WA KATA IGAWILO CHADEMA LILIPO SOKO NA MBUNGE NA MEYA NA NAIBU WOTE CHADEMA MNAPASWA KUONYESHA MFANO ILI TUWACHAGUE NA HAPA DODOMA TUWAPE MUONGOZE POLENI ILA MBUNGE WENU SIO NDIYO SUGU ET?
yaap huyu Sanga alikuwa cdm, akafanya usaliti akafukuzwa akahamia actccm akagombea udiwani akapata kura 25 ndio povu linamtoka baada ya kuona cdm inapaaUna ajenda ya siri na mr. 2 aka sugu
nakufahamu vyema una chuki binafsi na chadema, ndio maana ukahamia act na uligombea udiwan ukapata kura 25
hahaha 25 kati ya 5000+kura 25 kati ya ngapi vile?