Mogadishu Somalia jana Alshabaab waua Waislamu wenzao 100 kwa mlipuko wa bomu tena kwa kusema allah Akbar.Ushetani tu,Korea wamekufa 150
Nyumba takatifu ni roho yako tu..haya majengo hata kesho yanalipuliwa na hao hao wafia dini kama wewe.Saudia ni nchi ya kidini iliyotekwa na mkafir wa kimarekani
Wafanye chochote watakacho ila wasithubutu kuisogelea nyumba takatifu
Sent from my M100 using JamiiForums mobile app
Taratibu zinasambaa Duniani, miaka ijayo hata huku kwetu zitafika tu.Anhaa izi sherehee Zina usiri sana ndani yake Sio Bure unakutana na shetan bila mwenyewe kujua na Watu wengi wanakufa
Zifike Mara ngapi wakati mabwabwa tayari wameshaendorse.Taratibu zinasambaa Duniani, miaka ijayo hata huku kwetu zitafika tu.
Alikuwa Korea tumuombee!FaizaFoxy neno lako linahitajika hapa
Mkuu pamoja na umri uliobarikiwa bado unaamini hawa Al shabaab Islamic state and the like ni makundi ya kidini?Mogadishu Somalia jana Alshabaab waua Waislamu wenzao 100 kwa mlipuko wa bomu tena kwa kusema allah Akbar.
Hupo mkuu?!!![]()
Mkuu kemea basiMkuu pamoja na umri uliobarikiwa bado unaamini hawa Al shabaab Islamic state and the like ni makundi ya kidini?
Hebu kua na akili kidogo ya kuelewa grey propaganda za mataifa ya magharibi dhidi ya Arab states inavyosukwa
Hivi leo mimi Musheky niambatane na kikundi changu tubebe rozali kubwa na viambata vingine vya imani ya kikristo tuingie makanisani tuwalipue watu kwa mabomu huku tunasema "tumsifu yesu kristo" kwa akili yako finyu uta judge kwamba wakristo wanalipuana huko
Note" makundi yote ya kigaidi yamekua purposely "engineered" na baadhi ya mataifa makubwa ili kutekeleza malengo yao mbalimbali kwa nchi wazitakazo
Mfano mdogo marekani iliifosi UN kupitisha kwa dharura sheria ya ugaidi sheria ambayo marekani iliruhusiwa kulivamia kwa silaha taifa lolote ambalo inalihisi kua lina ugaidi
Sheria hii ilipitishwa kimkakati ili iwe rahisi kwa marekani kuingia popote atakapo na kutekeleza lolote kwa faida yake binafsi in particular uchotaji mafuta kwa nchi za kiarabu na alifanikiwa sana kwenye hili
Ili kuthibitisha hili tafuta hotuba maarufu ya aliyekua rais wa marekani George W.Bush inayoitwa America is under attack'' baada ya intelijensia za marekani "kujilipua wenyewe" na kutengeneza muvi ya ugaidi duniani alisema bush katika sehemu ya hutuba yake;
"All nations have to choose either to be in owr side or the side o the terrors" akimaanisha kwamba kama kuna nchi haitamuunga mkono kwenye agenda yake "feki" ya ugaidi basi marekani itaichukulia nchi hiyo ipo upande wa magaidi
Sent from my M100 using JamiiForums mobile app
awatoweza mkuu hakuna mwenye ubavu wa kuibomoa au kuaribu alkaaba walishindwa jeshi la tembo enzi izo na mpaka leo hii aitokuja kutokeaSaudia ni nchi ya kidini iliyotekwa na mkafir wa kimarekani
Wafanye chochote watakacho ila wasithubutu kuisogelea nyumba takatifu
Sent from my M100 using JamiiForums mobile app
Allah si ailinde saudia makafir wa kimarekani wasiiteke?Saudia ni nchi ya kidini iliyotekwa na mkafir wa kimarekani
Wafanye chochote watakacho ila wasithubutu kuisogelea nyumba takatifu
Sent from my M100 using JamiiForums mobile app