Nipe Maji
JF-Expert Member
- Mar 25, 2025
- 335
- 190
Mwanachama wa chama cha ACT-Wazalendo, Halima Yusuph Nabalanganya, Mei 22, 2025 amechukua fomu ya kugombea ubunge wa Jimbo la Mtwara Mjini kupitia chama hicho.
Akizungumza mara baada ya kuchukua fomu, Halima amesema hatua hiyo inalenga kuomba ridhaa ya wanachama wa ACT-Wazalendo ili aweze kupeperusha bendera ya chama hicho katika uchaguzi mkuu utakaofanyika mwezi Oktoba 2025.
Kwa sasa, chama cha ACT-Wazalendo tayari kimefungua rasmi zoezi la uchukuaji fomu kwa wanachama wanaotaka kugombea nafasi mbalimbali za uongozi kuelekea uchaguzi mkuu unaotarajiwa kufanyika nchi nzima mwaka 2025.
Akizungumza mara baada ya kuchukua fomu, Halima amesema hatua hiyo inalenga kuomba ridhaa ya wanachama wa ACT-Wazalendo ili aweze kupeperusha bendera ya chama hicho katika uchaguzi mkuu utakaofanyika mwezi Oktoba 2025.
Kwa sasa, chama cha ACT-Wazalendo tayari kimefungua rasmi zoezi la uchukuaji fomu kwa wanachama wanaotaka kugombea nafasi mbalimbali za uongozi kuelekea uchaguzi mkuu unaotarajiwa kufanyika nchi nzima mwaka 2025.