Halima Mdee na wenzake nane wafutiwa mashitaka

Halima Mdee na wenzake nane wafutiwa mashitaka

Crashwise

JF-Expert Member
Joined
Oct 23, 2007
Posts
22,227
Reaction score
8,760
Kesi ya iliyofungulia zidi ya Halima Mdee Mwenyekiti wa Bawacha Taiga ambaye ni Mbunge wa Kawe Jana aliibiwa serikali na kufutiwa kesi iliyofunguliwa na serikali ikidai walifanya mkusanyiko bila Kibali.

NB: Niwakati sasa wa kesi za kipuuzi kufutwa na kuacha kubambikia kesi za watanzania wasio na hatia kisa ni wapinzani.
 
Ilikuwa ni mkakati wa kumkatisha tamaa. Wapuuzi sana hao
 
Ukifkria sana kuhusu serikali yetu unaweza kuishia kucheka na mwisho kabisa unasema acha liende.
 
Ewe msukule Dhuluma iko wapi? Na wajepewa adhabu ungesema nin?

Ewe mbumbu.....dhuluma huioni kumkamata mtu na kumdhalilisha kisha ....anashinda kesi ,dhuluma imeshindwa........tatizo una mtindio wa kiccm....huwez ona dhuluma ......
 
Hiv mafisiem yakifanya mikuitano nao wanakuwa na kibali?
 
Kesi ya iliyofungulia zidi ya Halima Mdee Mwenyekiti wa Bawacha Taiga ambaye ni Mbunge wa Kawe Jana aliibiwa serikali na kufutiwa kesi iliyofunguliwa na serikali ikidai walifanya mkusanyiko bila Kibali.

NB: Niwakati sasa wa kesi za kipuuzi kufutwa na kuacha kubambikia kesi za watanzania wasio na hatia kisa ni wapinzani.
Huu uandishi unaumizwa kichwa kusoma!
 
Huu uonevu una mwisho wake


TIME WILL TELL
 
Back
Top Bottom