Halima MDEE kwenye kongamano la CHADEMA Bukoba

Plato

JF-Expert Member
Aug 28, 2010
420
94
Kuna kongamano la chadema bukoba.mh.Mdee ni mchokoza mada mkuu.pamoja na mambo mengine ataongelea na kufafanua msimamo wa chadema kuhusu mswaada wa katiba.tuko live radio vision.
 
Asante kutujuza lakini naona kuna mapungufu katika taarifa yako,maana hujatuambia kuna kongamano linahusu nini,yaani nini lengo la kuaandaa kongamano hilo,maana pamoja na mambo mengine atazungumzia msimamo wa chadema kuhusu mswaada wa katiba.na wengine hatuko bukoba please tuhabarishe kamanda kulikoni huko?
 
Back
Top Bottom