Halima Mdee amtaka Rais Magufuli ataje posho na marupurupu anayolipwa

Huu upuuzi sasa mwisho mtamuanbia aweke wazi mambo yake ya nyumbani kwake....acheni atumbue majipu sio kutafta tu kiki au mada isiyo na tija
 
Yeye ni head of state akiamua kuwa mhuni anaeza na maisha yakaenda...

Amekuwa muungwana naona ss kama wanamuingilia kwa personal issues baaana hata mie siezi taja revenue zangu kwa public..

Just thinking
 
Akiweka na posho za kijikimu Rais Magufuli anakunja zaidi ya 30M,aache kudanganya watz kama yy eti ni socialist wkt si kweli
Hebu soma Danya #79
Kakujibu vizuri tu.
Halima anapata posh 7M Na Mshahara 3M anawakilsha Watu 2M
Jumla 10M /2M=5 shilingi kila mwananchi wa Kawe anamlipa bi domo.
Sasa JPM anapata hizo mnazosema
34M/47M WaTanzania =.72 senti kilamtanzania anamlipa JPM senti .72
Bi Domo anafanya nini kwa Tanzania tumlipe shilingi TANO kila mwezi?
Kuanzi Leo avatar yake iwe
Mafala yaleeee
 
Hebu soma Danya #79
Kakujibu vizuri tu.
Halima anapata posh 7M Na Mshahara 3M anawakilsha Watu 2M
Jumla 10M /2M=5 shilingi kila mwananchi wa Kawe anamlipa bi domo.
Sasa JPM anapata hizo mnazosema
34M/47M WaTanzania =.72 senti kilamtanzania anamlipa JPM senti .72
Bi Domo anafanya nini kwa Tanzania tumlipe shilingi TANO kila mwezi?
Kuanzi Leo avatar yake iwe
Mafala yaleeee
Aseme ukweli sasa!
Anadanganya wasio watumishi wa UMMA ambao hawajui!Hata alipwe Milion 100 aseme kweli lkn

Mshahara ni component ndogo mno ya net pay!Ataje Net pay hapa kama kujinasibu kwake na u socialist watu hawatamgeuka!

Kwa 9.5 kama mshahara,projection inaonyesha akiweka na marupurupu yote huyu anakunja zaidi ya 30M

Socialist anayependa yy tu ndiyo alipwe vyema!
 
Wakati mzee mkapa anawaita malofa na wapumbavu walikuja juu....sasa mnaona kumbe alikuwa hajakosea
 
Napata wasiwasi pale magufuli aliposema yeye binafsi,makamu wa rais na waziri mkuu watakuwa wanachangia sh 6 milioni kila mwezi kwenye mishahara yao kwa ajili ya elimu kwa mkoa wa dar es salaam.sasa kama analipwa 9.5 milioni pekee si rahisi kuchangia 6 milioni.labda kama ana marupurupu mengi zaidi.dah....ama kweli CCM ni ile ile.

Siamini kama Kamanda Mdee anaweza kutoa hoja nyepesi kama hii. Ina maana Chama changu kimekosa mambo mazito na ya maana tuliyozoea kuyasikia enzi zile kabla ya akina Lowasa? Kama ni kweli hili kalisema, basi naamini Lowasaaaaaaa!! MABADILIKO.
 
Mwenyekiti wa Baraza la Wanawake wa Chadema (Bawacha), Halima Mdee amemuomba Rais John Magufuli kuweka wazi posho na marupurupu anayoyapata ili Watanzania wajue kiasi halisi anachokipata mbali na mshahara wake.

Mdee ambaye ni mbunge wa Kawe, alitoa ombi hilo jana kwenye mkutano wa hadhara uliofanyika Viwanja vya Sokoni, Jimbo la Mtama mkoani Lindi, uliohudhuriwa na mamia ya wananchi wa jimbo hilo.

Kauli hiyo ya Mdee imekuja siku moja baada ya Rais Magufuli kutaja mshahara wake kuwa ni Sh9.5 milioni kwa mwezi.

“Juzi Rais anasema eti mshahara wake Sh9.5 milioni, sasa atutajie posho za kila siku ili kila Mtanzania ajue kiasi ambacho anakipata,” alisema Mdee. Mdee aliongeza kuwa wabunge wanalipwa mshahara wa Sh3 milioni, lakini kuna posho mbalimbali kutokana na kuhudumia wananchi.

“Sisi wabunge mshahara wetu katika hati ya mshahara unasomeka Sh3 milioni, lakini posho na pesa ya mambo ya utendaji ya mbunge inafika Sh10 milioni, Rais atuambie na yeye posho zake ni kiasi gani,” alisema Mdee.


Chanzo: Mtembezi

Huyu kamanda sasa naona amekosa hoja. Kweli rais Magufuli anaimaliza ukawa polepole. Mhe Halima Mdee ukijua hizo posho rais itakusaidia nini kwani ziko kikatiba?
 
Huyu kamanda sasa naona amekosa hoja. Kweli rais Magufuli anaimaliza ukawa polepole. Mhe Halima Mdee ukijua hizo posho rais itakusaidia nini kwani ziko kikatiba?
Hata mie namshangaa, kuna kipindi nilikuwa nampenda lkn siku hizi naona analipuka tuu bila hoja za msingi
 
Halima kwa hilo sioni kama lina mashiko sana! Tujipange kwa hoja za maana! Suala la mishahara ni pana sana na posho zake! Utumishi ndio wanatakiw ku review kama kuna shida imeonekana! Pia tusilinganishe serikali kuu na agencies za serikali mfano TRA TPA etc: iwe ajenda kuu ya kuijadili!
 
Hata mie namshangaa, kuna kipindi nilikuwa nampenda lkn siku hizi naona analipuka tuu bila hoja za msingi
Msukuma alitowa hoja Bungeni kwamba BANGI Na MIRUNGI zi halalishwe.Na mnukuu."katika bunge lako tukufu kuna vigogo wengi tu wanatumia BANGI Na wako powa tu"
Msukuma sio kweli Halima domo BANGI inamzuru.
 
Wapinzani wasiwe wanaota alichana Mambo yanawekwa katika mstari.Overhaul ya nchi na system Mh.Raisi anaendelea na kazi yake ya kuikarabati Tulieni watu tuheshimiane.Hapa hakuna huyu fulani namjua fulani subiria kidogo au peleka kimemo Sasa hivi ni Sheria na Kanuni kwenda mbel.Na watu watajifunza Nidhamu ya Pesa
 
Aliyeanzisha mada hii sio wananchi,wala wabunge;raisi mwenyewe anayependa sifa ndio alianzisha mjadala huu akithani watu mafala.
Raisi anapewa 36M kwa mwezi mkuu na anajengewa nyumba anakotaka na kulisha,kuvishwa na kulindwa maisha yake yote.
Huoni kuwa anastahili kwa kazi anayofanya. Actually anastahili more siyo hawa kina KHalima Mdee wanaokazania taarab ndani ya Bunge mara watoke nje ili mtradi hopeless huku majimbo yao yako hoi. Atueleze kwanza kawafanyia nini wananchi wa KAwekabla hajaanza kuuliza marupurupu ya Rais ambaye halali kwa ajili ya wananchi wake!
 
Huyu Mama angekuwa anawaheshimu hao waliokuwa wanamsikiliza angenza kwa kutaja mishahara, posho na marupurupu ya viongozi wake...then ataje mshahara, marupurupu na mshahara wake yeye, kisha ndio aombe na Raisi ataje za kwake.
Tena wasubiri panga lao. Wala hamna cha maana wanachokifanya zaidi ya kumatch nje kila siku! Kwa kweli kwa sasa hawana hoja!
 
Lol hawa bhna sisi hata alipwe sh ngapi kikubwa atufanyie mazuri

By the way Mdee ashasema yeye ni mbunge anahudumia wananchi wa jimbo la kawe ambao hata Milioni 2 hawafiki anapata marupurupu million 7 sasa haoni hiyo kuwa ni kubwa sana kwakwe inatakiwa apunguziwe anashindwa kujua Rais anaye hudumia wananchi woteeeee nchi nzima atakauwa anachukua kiasi gani? kama yeye wa jimbo tuu posho million saba mshahara millioni 3 huyu anajua anachokiongea kweli......Kama mzalendo aanze yeye kujipunguzia hayo marupu rupu alaaaaa
Jamani yaani big up! KamaRais Mh. Magufuli alivyotuambia ni hesabu rahisi tu fanya cross multiplication kama ulivyofanya atoke kule sisi tunachotaka ni maendeleo. Ngoja nasi wananch tuwavalie njuga wabunge wapunguziwe maslahi yao.
 
Back
Top Bottom