Halima Mdee amsambaratisha Magufuli


Chama kiwatengenezee ajira?
Chato kuna maeneo ya maji ya kutosha, umesikia wakihamasishwa kujaribu ufugaji wa samaki(cage fish farming)?
Udongo wa Chato unafaa kilimo cha citrus fruits, sijasikia wataalamu wakiwahamasisha walala hoi.

Wasipozibuka na kutafakari upya watampigia kura waliyemzoea (Zimwi likujualo!)
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…