Hivi unajua kama mwanamama huyo anatawala wilaya nne za Kilosa,Morogoro manispaa,morogoro vijijini na Mvomero?Toka JKapangue wakuu wa wilaya mpaka sasa bado anayezitawala wilaya hizo ni huyo mwanamama.Je hakuna wengine wa kumsaidia?kwanini iwe yeye tu?