zanzibar huru
JF-Expert Member
- May 28, 2012
- 218
- 110
Chama kikubwa na mbadala wa CCM na ambacho kitakuwa na mamlaka ya nchi hii 2015 mbona mpaka sasa hivi kahikatoa tamko au taarifa yoyote kuhusu hali ya kisiasa kule visiwani, vurugu zilizotokea na msimamo wao kuhusu Muungano.
1. Je wanasemaje kuhusu wananchi kuambiwa ni dhambi kujadili kuwepo au kutowepo kwa Muungano?
2. Je wanakubali wananchi waulizwe kama wanautaka muungano au la?
3. Je CHADEMA na CCM na CUF wana sera moja kuhusu Muungano ( kulazimisha wananchi wakubali hii project ya wanasiasa)
4. Je Zitto Kabwe aliposema kuwa Muungano ni "SCARED" je huo ndio msimamo wa CHADEMA?
5. Waziri kivuli wa Muungano ni nani na mbona yuko kimya?
6. JJ Mnyika inabidi am summon Zitto na wanasiasa wengine wa CHADEMA ambao wanatoa matamko ili kupata attention na kuwaambia kuwa CHADEMA si genge la wahuni ambalo kila mmjoja anatoa matamko bila kumhusisha yeye (JJ).
7. Mnyika aki draft hiyo statement nashauri apate input ya Tindu Lissu
Au kama washatoa basi tunaomba bwana Mnyika atuletee hiyo taarifa tuisome
1. Je wanasemaje kuhusu wananchi kuambiwa ni dhambi kujadili kuwepo au kutowepo kwa Muungano?
2. Je wanakubali wananchi waulizwe kama wanautaka muungano au la?
3. Je CHADEMA na CCM na CUF wana sera moja kuhusu Muungano ( kulazimisha wananchi wakubali hii project ya wanasiasa)
4. Je Zitto Kabwe aliposema kuwa Muungano ni "SCARED" je huo ndio msimamo wa CHADEMA?
5. Waziri kivuli wa Muungano ni nani na mbona yuko kimya?
6. JJ Mnyika inabidi am summon Zitto na wanasiasa wengine wa CHADEMA ambao wanatoa matamko ili kupata attention na kuwaambia kuwa CHADEMA si genge la wahuni ambalo kila mmjoja anatoa matamko bila kumhusisha yeye (JJ).
7. Mnyika aki draft hiyo statement nashauri apate input ya Tindu Lissu
Au kama washatoa basi tunaomba bwana Mnyika atuletee hiyo taarifa tuisome