Katika siku za hvi karibuni, kumekuwa na matukio mbali mbali yanayoashiria kuwepo kwa hali ya kutokuwa salama katika siku zijazo.
Miongoni mwa viashiria hvyo ni kuvamiwa kwa vituo vya Polisi na kuporwa kwa silaha, je tunajua hizo silaha zinaenda wapi na zijezitumike vipi? Haya ni maswali yakujiuloza. Pia mara kwa mara tumeckia watu wanaozaniwa AL-SHABAB wameingia katika nchi yetu hili nalo tunalichukuliaje?
Mimi kwa upeo wangu nafikili kwa sasa hatunabudi kushirikiana na vyombo vya ulinzi na usalama kuimarisha usalama wa nchi yetu. Mungu ibariki Tanzania, Mungu Tubariki Watanzania
Miongoni mwa viashiria hvyo ni kuvamiwa kwa vituo vya Polisi na kuporwa kwa silaha, je tunajua hizo silaha zinaenda wapi na zijezitumike vipi? Haya ni maswali yakujiuloza. Pia mara kwa mara tumeckia watu wanaozaniwa AL-SHABAB wameingia katika nchi yetu hili nalo tunalichukuliaje?
Mimi kwa upeo wangu nafikili kwa sasa hatunabudi kushirikiana na vyombo vya ulinzi na usalama kuimarisha usalama wa nchi yetu. Mungu ibariki Tanzania, Mungu Tubariki Watanzania