Hali ya Tanzania ingekuwaje kama kisingewaka kwenye MO29 ?

Hali ya Tanzania ingekuwaje kama kisingewaka kwenye MO29 ?

Mto wa mbu

JF-Expert Member
Joined
Aug 8, 2021
Posts
4,126
Reaction score
9,593
Guys,

Hivi mshawai kujiuliza ,Hali ya Tanzania ingekuwaje kama MO29 isingetokea?
Binafsi MO29 imebadili political atmosphere ya Tanzania Kwa Hali ya juu. Kama MO29 isingetokea haya ndo yangekuwa matokeo yake.

1. Samia angekuwa ashaanza ziara za kuwashukuru wapiga kura hewa wake, angekuwa anazunguka na kutupa vijembe Kwa Chadema waliogomea uchaguzi.

2. Samia angekuwa kashasafiri sana nje ya nchi, angekuwa anazurura Europe, America na Asia Kwa kigezo Cha kufungua nchi, ila kutokana na MO29 ata Kenya hawezi kanyaga, kwenye mikutano ya UN ,world Economic forum huko hatopeleka pua Tena.

3. Kejeri, majigambo, dharau za machawa na wapambe wa Samia, Stivin Wassira, Chalamila,Steve Nyerere wangekuwa wanabwatuka hovyo, ila kutokana na MO29, nyumba ya Wasirra ilipigwa kiberiti, sahivi anaishi kama digidigi, dharau zote kwisha.

4. CHAUMMA wangekuwa wanatamba aswaaa, watu hawajui baada ya MO29, CCM walipanic Hadi kuwasahau kuwapa majimbo vibaka wa CHAUMMA. Mwisho wa siku kina Moza Ally, Catherine Ruge, Susana Kiwanga, Aisha Madoga wamekosa viti maalumu , Hadi sahivi wanaogopa kutoa ata kichwa.

Je Hali ingekuwaje kama MO29 hisingekuwepo?


1..........
 
Guys,

Hivi mshawai kujiuliza ,Hali ya Tanzania ingekuwaje kama MO29 isingetokea?
Binafsi MO29 imebadili political atmosphere ya Tanzania Kwa Hali ya juu. Kama MO29 isingetokea haya ndo yangekuwa matokeo yake.

1. Samia angekuwa ashaanza ziara za kuwashukuru wapiga kura hewa wake, angekuwa anazunguka na kutupa vijembe Kwa Chadema waliogomea uchaguzi.

2. Samia angekuwa kashasafiri sana nje ya nchi, angekuwa anazurura Europe, America na Asia Kwa kigezo Cha kyfungua nchi, ila kutokana na MO29 ata Kenya hawezi kanyaga, kwenye mikutano ya UN ,world Economic forum huko hatopeleka pua Tena.

3. Kejeri, majigambo, dharau za machawa na wapambe wa Samia, Stivin Wassira, Chalamila,Steve Nyerere wangekuwa wanabwatuka hovyo, ila kutokana na MO29, nyumba ya Wasirra ilipigwa kiberiti, sahivi anaishi kama digidigi, dharau zote kwisha.

4. CHAUMMA wangekuwa wanatamba aswaaa, watu hawajui baada ya MO29, CCM walipanic Hadi kuwasahau kuwapa majimbo vibaka wa CHAUMMA. Mwisho wa siku kina Moza Ally, Catherine Ruge, Susana Kiwanga, Aisha Madoga wamekosa viti maalumu , Hadi sahivi wanaogopa kutoa ata kichwa.

Je Hali ingekuwaje kama MO29 hisingekuwepo?


1..........
Hayo yote 9. Kumi linaloenda kubadili mustakabali wa hii nchi ni jambo linalokuja kutoka huko ICC.

Hilo ndo linaenda kuwafundisha watu na hawa wahuni nini maana ya kuheshimu Katiba, Wananchi na matakwa ya wananchi.

Hilo ndo linaenda kuweka mwisho wa ngebe za ccm za vyombo vya ulinzi na usalama kwa Wananchi. Hilo ndo linaenda kuwafanya wanasiasa na Viongozi kuwaheshimu rasmi Wananchi.
 
Hayo yote 9. Kumi linaloenda kubadili mustakabali wa hii nchi ni jambo linalokuja kutoka huko ICC.

Hilo ndo linaenda kuwafundisha watu nini maana ya kuheshimu Katiba, Wananchi na matakwa ya wananchi.

Hilo ndo linaenda kuweka mwisho wa ngebe za ccm za vyombo vya ulinzi na usalama kwa Wananchi. Hilo ndo linaenda kuwafanya wanasiasa na Viongozi kuwaheshimu rasmi Wananchi.
Ila MO29 kiliwaka aswaaaa😁😁

Sahivi kina Muliro wameamua kujificha maofisini, hawataki Tena showoff za media
 
Ila MO29 kiliwaka aswaaaa😁😁

Sahivi kina Muliro wameamua kujificha maofisini, hawataki Tena showoff za media
Muliro, Mafwele, CP Awadhi na IGP Wambura ndo mbuzi wa kafara wa Samia.

Walichopanga na Tume yake ya mchongo ni wawawajibishe hao ili kujaribu kuonesha Tume ya Uchunguzi imefanya jambo la maana na kuirubuni Jumuiya ya Kimataifa hasa USA na EU.

Wasichojua ni kwamba wazungu wameshagundua janja yao na wanakuja na rungu la kupiga kuanzia Samia mwenyewe, mtoto wake, mkwe wake, IGP, DGIS, CDF na huyo IGP na vidampa vyake.

Hakuna jiwe litasalia juu ya jiwe mwaka huu.
 
Na bado. Chawa watajipoteza wenyewe. Wabeba bunduki kuna siku nao watachoka kupokea amri.

Nakumbuka wakati tukiwa JKT, Mkuu wa Kikosi alisema "amri unazopaswa kuzitii ni zile halali tu" mf askari wa kike akiambiwa na Afande wa kiume " lala chini vua chupi panua miguu" Hiyo siyo amri halali kataa.

Asanteni sana Gen-Z hatuna cha kuwalipa lkn Mungu wetu atawalipa.
 
Guys,

Hivi mshawai kujiuliza ,Hali ya Tanzania ingekuwaje kama MO29 isingetokea?
Binafsi MO29 imebadili political atmosphere ya Tanzania Kwa Hali ya juu. Kama MO29 isingetokea haya ndo yangekuwa matokeo yake.

1. Samia angekuwa ashaanza ziara za kuwashukuru wapiga kura hewa wake, angekuwa anazunguka na kutupa vijembe Kwa Chadema waliogomea uchaguzi.

2. Samia angekuwa kashasafiri sana nje ya nchi, angekuwa anazurura Europe, America na Asia Kwa kigezo Cha kufungua nchi, ila kutokana na MO29 ata Kenya hawezi kanyaga, kwenye mikutano ya UN ,world Economic forum huko hatopeleka pua Tena.

3. Kejeri, majigambo, dharau za machawa na wapambe wa Samia, Stivin Wassira, Chalamila,Steve Nyerere wangekuwa wanabwatuka hovyo, ila kutokana na MO29, nyumba ya Wasirra ilipigwa kiberiti, sahivi anaishi kama digidigi, dharau zote kwisha.

4. CHAUMMA wangekuwa wanatamba aswaaa, watu hawajui baada ya MO29, CCM walipanic Hadi kuwasahau kuwapa majimbo vibaka wa CHAUMMA. Mwisho wa siku kina Moza Ally, Catherine Ruge, Susana Kiwanga, Aisha Madoga wamekosa viti maalumu , Hadi sahivi wanaogopa kutoa ata kichwa.

Je Hali ingekuwaje kama MO29 hisingekuwepo?


1..........
Mungu sii Athumani wala Mjomba Mchumali.Ashukuriwe kila wakati.
 
Hayo yote 9. Kumi linaloenda kubadili mustakabali wa hii nchi ni jambo linalokuja kutoka huko ICC.

Hilo ndo linaenda kuwafundisha watu na hawa wahuni nini maana ya kuheshimu Katiba, Wananchi na matakwa ya wananchi.

Hilo ndo linaenda kuweka mwisho wa ngebe za ccm za vyombo vya ulinzi na usalama kwa Wananchi. Hilo ndo linaenda kuwafanya wanasiasa na Viongozi kuwaheshimu rasmi Wananchi.


Ni bora hili la ICC litokee ili tuweze kuhandle hii aftermath kisheria kulikoni la ICC lisifanyike raia wakose matumaini ya msaada waamue mbwa iwe mbwai, ya Libya yanaweza kutokea hapa kwa watu kufurumushwa chupi mkononi na taifa kuanza upya likiwa na historia iliyovurugwa nakuchafuliwa na vilaza wachache.

Uungwana ni stadi muhimu sana ya maisha.
 
Hayo yote 9. Kumi linaloenda kubadili mustakabali wa hii nchi ni jambo linalokuja kutoka huko ICC.

Hilo ndo linaenda kuwafundisha watu na hawa wahuni nini maana ya kuheshimu Katiba, Wananchi na matakwa ya wananchi.

Hilo ndo linaenda kuweka mwisho wa ngebe za ccm za vyombo vya ulinzi na usalama kwa Wananchi. Hilo ndo linaenda kuwafanya wanasiasa na Viongozi kuwaheshimu rasmi Wananchi.
Mungu atende hata sasa.
 
Back
Top Bottom