- Thread starter
- #41
lakini tatizo ni la jeshi letu la polisi walimpa taharifa zisizo sahihi za kientelligenciaMwambie aache kuongopa bungeni na kwa wananchi.. anajua alitendalo ajue Ataadhibiwa hapa hapa Duniani. yupo kwa ajili ya wananchi sio wajinga waliompa ripoti ya mauaji Arusha shame zao