Hali ya malipo ya korosho Mtwara

Hali ya malipo ya korosho Mtwara

Danny Massawe

JF-Expert Member
Joined
Oct 15, 2012
Posts
1,299
Reaction score
765
Nipo maeneo ya Mtwara-Newala, nimegundua ukiwa mpole haupati . Wakulima walikuwa wanadai hela zao za malipo ya pili sh.600 ushirika wakasema watatoa sh.550 wakawatuma madiwani wakawaeleweshe wananchi, wananci wakawafukuza hao madiwani.

Sasa naona wanatoa hela zote in full. wangekubali ndo wangekuwa wameliwa haki yao
.
 
Walikuwa wanataka kuwafisadi bora wamengangamara katika kudai haki yao.
 
Vp mkuu? Wameanza kulipa lini? Ni wilaya nzima au wameanza baadhi ya maeneo tu? Mimi ni mkulima niko nje ya mtwara nijulishe tafadhali'
 
Tunawapongeza kupata pesa zao؛heko kwa walipaji kuamua kulipa.
 
Tz ya sasa kila kitu deal, hadi malipo halali ya mazao ya wakulima yanachezwa deal, pembejeo nazo deal
............. lakini tutafika tu.
 
Salaam kwa Nchimbi, maandamano yanalipa

cc: sumu
 
Mkuu wanalipa pesa vyama vyote newala ila kunvichache vinamgogoro korosho zao bado hazijauzwa. ingekuwa vizuri kama ungeniambia uliuza korosh kny chama kipi cha msingi ili nikupe majibu sahihi
 
Back
Top Bottom