Hali ya maisha ikoje mahali uliko?

Hali ya maisha ikoje mahali uliko?

Kwani mbona husemi kwenu mwanza kimpumu kuwa imepanda hasa mitaa ya kule Kishiri, Buhongwa, na nyamadoke

In God we Trust
Mwanza kuna mapuya na kangala. Kama kuna kimpumu wateja ni wachache.
 
Mkuu mimi ni mteja mkubwa sana wa hiyo kimpumu na kangara hivyo naelewa vizuri sana. Nipo hapa lwagasole
Mwanza kuna mapuya na kangala. Kama kuna kimpumu wateja ni wachache.

In God we Trust
 
Ni hatari sana ndugu yangu
Pesa zinazotakiwa kutumiwa kutosheleza matumizi ya kawaida ya kila siku inazidi pesa unayoipata kwa mwezi
Hapo kaya/familia zinaishi katika negative wealth accumulation.
Maisha yanazidi kuwa magumu siku baada ya siku
Tiba ni uzalishaji, wewe hutaki kuzalisha, utavunaje???
 
Tiba ni uzalishaji, wewe hutaki kuzalisha, utavunaje???
Kuna factors nyingi za uchumi zinazotegemeana, kwa mfano kama ukizalisha ukavuna lakini sera za kodi ni harsh, purchasing power ya watu kama imepungua sana, Au bei ya mbolea na vipiru haishikiki, masharti ya mikopo benki ni mazito sana huko kuzalisha kunaweza kukutia hasara

Tunapolaumu hali ya maisha kuwa ni ngumu tunamaanisha chain nzima ya uchumi haiperform vizuri.

Mifano mizuri ipo, wale waliolima mbaazi mwaka juzi na waliolima korosho mwaka juzi athari za maamuzi mabovu ya serikali wakati huo tunaanza kuyaona leo!
 
Katika wiki kadhaa zilizopita tumeshuhudia bei za baadhi ya bidhaa kama nyanya na gesi kupanda.

Ongezeko hili bila shaka linagusa vipato vyetu vya kila siku. Lengo la uzi huu ni kujua kama kuna bidhaa nyingine zilizopanda bei na kama zimepanda ni kwa kiasi gani?

Hii inaweza pia ikatutengenezea fursa za kibiashara kwa wajasiliamali lakini pia kujua kiasi gani viongozi wetu wamefanikiwa kuboresha maisha ya watanzania kwa kubalance uchumi.

Lakini pia kubaini vyanzo vya ongezeko hilo ni nini hasa?

Naomba tudondoshe hapa aina ya bidhaa yoyote iliyopanda na bei yake? Na mwenye kujua sababu atanabaishe.

Tukianza na Mahindi, Unga, Gesi, Nyanya, sukari n.k



Sent using Jamii Forums mobile app
Huku nilipo watu wanajenga mahekalu ya kutisha kila kukicha. Utafikiri wanafyatua hela zao binafsi
 
Kuna factors nyingi za uchumi zinazotegemeana, kwa mfano kama ukizalisha ukavuna lakini sera za kodi ni harsh, purchasing power ya watu kama imepungua sana, Au bei ya mbolea na vipiru haishikiki, masharti ya mikopo benki ni mazito sana huko kuzalisha kunaweza kukutia hasara

Tunapolaumu hali ya maisha kuwa ni ngumu tunamaanisha chain nzima ya uchumi haiperform vizuri.

Mifano mizuri ipo, wale waliolima mbaazi mwaka juzi na waliolima korosho mwaka juzi athari za maamuzi mabovu ya serikali wakati huo tunaanza kuyaona leo!
Point moja ya msingi uliongelea ni hapo kwenye kutoa mikopo.
Kwenye kodi kuwa specific ? Ili wahusika waweze kuchukua hatua stahiki
 
Bei ya mkate na maziwa imepanda kwa senti tatu,mshahara wangu umepandishwa napata senti thelathini zaidi.
 
Kuna factors nyingi za uchumi zinazotegemeana, kwa mfano kama ukizalisha ukavuna lakini sera za kodi ni harsh, purchasing power ya watu kama imepungua sana, Au bei ya mbolea na vipiru haishikiki, masharti ya mikopo benki ni mazito sana huko kuzalisha kunaweza kukutia hasara

Tunapolaumu hali ya maisha kuwa ni ngumu tunamaanisha chain nzima ya uchumi haiperform vizuri.

Mifano mizuri ipo, wale waliolima mbaazi mwaka juzi na waliolima korosho mwaka juzi athari za maamuzi mabovu ya serikali wakati huo tunaanza kuyaona leo!

Mzee wetu anaelewa hiyo multiplier effect sasa!?
 
Badala ya kutumia trilioni moja kuwaongeza mishahara wafanyakakazi , nimeamua kuipelekahii hela kwenye ujenzi wa bwala la umeme . JPM
 
Back
Top Bottom