hyassin92
JF-Expert Member
- Oct 4, 2017
- 583
- 631
Wewe kama mimiKuna bi mkubwa hapa mtaani anapika vitumbua vizuri sana, alikua anauza 200 ila juzi kapandisha bei hadi 300
Nilikua napata vitumbua vitano kwa buku, mimi nakula viwili, wife viwili na dogo anakula kimoja maisha yanaenda. Ila kwa sasa buku napata vitumbua vitatu nimeamua mimi niachane na breakfast nimuachie wife na dogo.
Wewe kama mimi
Tunduma 1850 jumla,reja reja 2000 sukari za zambia kuishi karibu na border raha sanaLeo tarehe 27/4/2020, licha ya serikali kutoa bei elekezi ya sukari ya 2600 kwa kilo sukari bado inauzwa tsh 3500
Sent using Jamii Forums mobile app
Huko maisha safi sana mkuu !Tunduma 1850 jumla,reja reja 2000 sukari za zambia kuishi karibu na border raha sana
Sent using Jamii Forums mobile app
Hii jf Sasa siyo ya kuelimishana Bali ya jokes tu na tukiendelea hivyo itapoteza malengo yakecondom kutoka 400..mpaka 1000-1500
Tumia gesi km uwezo upoGunia la mkaa limepanda uku zoo linafika laki moja
Inategemea na matumizi maana wengine wanahitaji mkaa kwa shughuli maalumu
Hii jf Sasa siyo ya kuelimishana Bali ya jokes tu na tukiendelea hivyo itapoteza malengo yake
Sent using Jamii Forums mobile app
Hiyo sukari ya Zambia mbeya mjini inauzwa 2700 madukani ila kuna machinga wanapitisha majumbani wanauza 2500 basi tunaona maisha tumeyapatiia..kumbe wenzetu tunduma mnapata kwa 2000 tuTunduma 1850 jumla,reja reja 2000 sukari za zambia kuishi karibu na border raha sana
Sent using Jamii Forums mobile app
Daah mkuu unafatilia bei inavyo fluctuate bila shaka ww ni mteja madhubuti wa hiyo bidhaaYaani ndom ziliadimikaga, zikapanda bei halafu ziliporejea bei haikushuka tena!
I moved your cheese!