Evelyn Salt
JF-Expert Member
- Jan 5, 2012
- 62,478
- 107,948
Nani kakuambia mi mama kijacho? Mi bado nalea....hadi uchaguzi mkuu ndo nitapata mtoto mwingine nikijaaliwa uzimaMpwa wangu= kijacho . Je yupo anadunda au bado tunamsubiri kwa hamu?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nani kakuambia mi mama kijacho? Mi bado nalea....hadi uchaguzi mkuu ndo nitapata mtoto mwingine nikijaaliwa uzimaMpwa wangu= kijacho . Je yupo anadunda au bado tunamsubiri kwa hamu?
Hongera sana kwa kupata mdogo wangu nitatuma maziwa s26 kama zawadi ya kulea. Msalimie kuwa kaka yake anammiss sanaNani kakuambia mi mama kijacho? Mi bado nalea....hadi uchaguzi mkuu ndo nitapata mtoto mwingine nikijaaliwa uzima
na wewe bachelor mkuu!Ngoja tuwasubiri pamoja
kama hali mbaya unalazimisha nini sasa! isitoshe una jina la heshima,.. BigBabaMi kwangu hali mbaya kila kukicha
akijaaribika kitu mkuu, wewe pita kimya kimya kuuepuka huu umbeaHuo sasa umbea....hali ya mahusiano yetu wewe waitakia nini?
haha! wewe sio bachela... wewe ni simba mwenye njaa kali anayetafuta swala.mi mwenyewe bachela. ngoja tusubiri mabachela wa kike tuyajenge.
umependa kweli Nanoli naamini na uliyenae ana kupenda kweli,Mnaweza mkawa mnazinguana kila kukicha, mkaja kuyazoea na kuchukuliana...haina mbaya! Mkipata muda wa kujadili ya msingi na kutekeleza na kwa mda mnawekana sawa... Maisha yanaenda kiubabeubabe.. Bora shetani unayemjua kuliko malaika usiyemjua
haha! nasoma hii ramani ya kivita kwanza... kuingia kichwa kichwa nitakula la uso,Sasa Mkuu utamu wa ngoma si uingie ucheze..kumbe uko bachelor halafu unataka kujua ya walio kwenye mahusiano..au unapiga ndondo Mkuu?