Hali ya Mabere Marando

Hali ya Mabere Marando

WE ARE ANONYMOUS

JF-Expert Member
Joined
Mar 23, 2015
Posts
217
Reaction score
284
Umofia kwenu wana JF!

Huyu kamanda nakumbuka pale Kinondoni alituthibitishia kwamba kura hazitaibiwa na yeye mwenyewe atatangaza matokeo ya uchaguzi mapema kabisa kabla hata tume haijatangaza.

Ghafla tunakuja kusikia jamaa hali yake ni mbaya anaumwa na kapelekwa India kwa matibabu zaidi.

Leo imebaki wiki moja tuingie kwenye uchaguzi mkuu na bado "mtangaza matokeo" wetu hatujui hali yake wala hatumsikii tena.

Anaendeleaje huko india?

Wakatabahu!!
 
Umofia kwenu wana JF!

Huyu kamanda nakumbuka pale Kinondoni alituthibitishia kwamba kura hazitaibiwa na yeye mwenyewe atatangaza matokeo ya uchaguzi mapema kabisa kabla hata tume haijatangaza.

Ghafla tunakuja kusikia jamaa hali yake ni mbaya anaumwa na kapelekwa India kwa matibabu zaidi.

Leo imebaki wiki moja tuingie kwenye uchaguzi mkuu na bado "mtangaza matokeo" wetu hatujui hali yake wala hatumsikii tena.

Anaendeleaje huko india? au ndio polonium-210 katika ubora wake?

Wakatabahu!!

Watu wa ccm wakiambiwa wamelishwa sumu wanawekwa ndani na kupelekwa mahakamani?
 
Nadhani swali lako na maneno yako ukiyasoma vizuri ni kwamba mabere anaumwa ktk hali ya sintofahamu... Jibu ni hapana ni hali tu mwanadamu ktk maisha yake ya duniani.. Kwani kuna kuugua pia bila kufahamu wakati kwani huwa ni kama abrupt vile...

Mabere yupo na hali yake sio mbaya ...ila bado yupo kwenye matibabu. Soon atarecover.

Ushauri: tupunguzeni kufikiria zaidi ya uwezo wa ubongo.. Maana huwa ikizidi yaweza kutengeneza mtazamo -/+ kwa mwanadamu
 
Kama aliwaahidi atawatangazia matokeo maana yake labda atarudi kabla ya matokeo. Lakini kunyume chake labda ameona upepo haupo upande wake bora apige kimya tu. Kura yangu ni kwa Magufuri.
 
Kwa nini sisi binadam tunafurahia mauti ya binadam mwenzetu. Huu si uungwana. Utu ni zaidi ya hizi siasa. Nimeshangaa watu wanafurahia hata kifo cha filikunjombe ala!! Ivi tumelaaniwa. Eti kisa siasa.
 
Watu wa ccm wakiambiwa wamelishwa sumu wanawekwa ndani na kupelekwa mahakamani?

acha kuandika utumbo... Sababu ya kupelekwa mahakamani ni kutokana na kwamba katoa taarifa ambazo sizo za kweli yaan kapotosha jamii... Kwa upande mwingi ni kama kuleta uchochezi... Thus, acha unazi..
 
Kama aliwaahidi atawatangazia matokeo maana yake labda atarudi kabla ya matokeo. Lakini kunyume chake labda ameona upepo haupo upande wake bora apige kimya tu. Kura yangu ni kwa Magufuri.

Mpe kura yako magufuli ili umfute machozi tu,nakuhakikishia hashindi,rais ni Lowassa,kama hutaki hama nchi.
 
Kama aliwaahidi atawatangazia matokeo maana yake labda atarudi kabla ya matokeo. Lakini kunyume chake labda ameona upepo haupo upande wake bora apige kimya tu. Kura yangu ni kwa Magufuri.

Si rahisi zezeta akatoa wazo la busara!
 
kuna baadhi ya watu umu vichwa vyao kama vinafunza ndani na ndio maana wanadiliki hata kuongea mashudu.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom