Hali ya Kisiasa: Ridhiwan Kikwete anapumulia mashine Jimboni

Alitegemea kutekeleza hayo yote ikiwa bamdogo angepokea kijiti kutoka kwa baba yake (kaka mtu) lakini bahati haikuwa hivyo!
 
Sio mbele ya Vasco Dagama pengine mbele ya JIWE; kumbuka Vasco Dagama ndio aliyemuumba huyu Makonda!! Makonda alikuwa anafunga gidamu za Ridhwani!!!
Maisha yanabadilika sasa hivi Riziwani ndiye mfunga viatu wa Makonda kwasasa Makonda ndiye kiongozi mkuu (kama alivyo zitto act) wa Ccm Tanzania analolisema linakuwa la taifa hakuna wa kumpinga.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Riz-1 hawezi kurudi wala mama yake, yaani mama Salma ambaye hajawahi kutoa mchango zaidi ya mara mbili kwa bunge zima hawarudi, mama salma alipewa tu ili kuficha ile kitu yake nanii
 
Jamaa aliahidi vitu vikubwa mno! Kwani wananchi waliamini kwamba atatekeleza? Yaani mbunge afanye mkoa uwe kama Dubai? Heheheheheee....!
 
Hivi kabisa unamaanisha na akili yako inakubali kua Ridhiwani hata akikosa ubunge ataadhirika au kupata tabu? Hv unajua Rais mstaafu analipwa 80% ya mshahara wa Rais aliye madarakani,kwani unafikiri kikwete anashindwa kumlipa mwanae Ridhiwani mshahara sawa na wa ubunge akiamua ni Basi tu dogo anataka status tu
 
Hakuna kitu kama hicho. Hizo njaa za kiwango hicho hawezi kuzifikia. Huyu ni mtoto wa Jk. Raisi mstaafu wa JMT. Hiyo title tu inamlisha yeye na familia mpaka afe. Labda apigane na serikali.
 
Hakuna kitu kama hicho. Hizo njaa za kiwango hicho hawezi kuzifikia. Huyu ni mtoto wa Jk. Raisi mstaafu wa JMT. Hiyo title tu inamlisha yeye na familia mpaka afe. Labda apigane na serikali.

Au Serikali iamue kupigana na yeye.

My point ni, kama huna nguvu za kisiasa Afrika, uko kwenye hatari. Angalia yanayoikuta familia ya Dos Santos huko Angola.
 
Hujanielewa.

Ubunge wako si kwa ajili ya mshahara, kwanza mshahara wa wabunge hapa Tanzania ukilinganisha na "majukumu" wanayopewa na wananchi, familia na ndugu sio mshahara wa maana. Wanachogombania ni political influence inayokuja na huo ubunge. Hilo ndio la muhimu, na wengi wakikosa mambo yao hayaendi sawa. Wewe unadhani Shabiby au Abood kwenye siasa wamefuata mshahara? Ni influence, kuna milango inafunguka kwa sababu ya ubunge wake
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…