nimepata tetesi kuwa hal ya kiafya ya huyu mzee haikuwa nzuri kwa yeyote mwenye upadates atusaidie ila nilichoelezwa mimi ni kuwa alikuwa mgonjwa sana leo
Aliyefariki ni Harith Mwapachu, kijana, mtoto wa Juma Mwapachu, kaka yake na Bakari Harith Mwapachu. Kuweni waangalifu kidogo, au wadadisi kuhakiki mambo kabla ya kupost humu ndani mambo msiyoyajua!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.