kwa kazi ipi iliyofanya? serikali hii hii ambayo inaendeshwa kwa mipasho na majungu? lazima kuwe na plan ya kuinua maisha ya wananchi wake na kuwamalizia kama si kuwapunguzia matatizo wananchi wake!!! Serikali yetu imeoza, ka,a si kunuka kabisa! kuna nchi ngapi wananchi wake wanauza madawa lakini serikali zinafanya jitihada za kudhibiti?
Hivi inakuwaje mheshimiwa R anasema eti 'mjisalimishe baada ya wiki' ? badala ya kuwakamata baada ya wiki?
that means kuna vitu vingi sana anavifahamu lakini anamezea tu kwa vile familia yake haiguswi, inaishi kwa neema za kodi za wananchi!
kubadilishana wafungwa wake na rasirimal
hapa unamzungumzia nani mkuu? tafadhali sema ukweli, kuna ishu inanuka tu hapa mtaani, sina uhakika nayo sana.. mwaga info kama unazo!
mwisho zitaisha sasa kila mtu akishikwa serikal itoe mgod ili aachiwe
rasilimali za nchi zinazidi kuteketea kwa mipango mibovu ya serikali pamoja na mikataba feki feki inayosain kila siku!
mpaka wananchi wenyewe hawajafunzwa jinsi ya kutumia rasilimali hizo kwa usahihi, unadhani watajua nini kinachowazunguka??? nchi inatafunwa na hao wanaojifanya wanatutetea!