RukaHapa Kunduchi inashuka Muda huu
Nimo botini nashindwa hata kushuka
😀😀Ruka
Vyura FCKlabu Ya Yanga hapa Jangwani inakaribia Kufunikwa Na Maji....!
Balaa Mwana...!
Ny City! ni yule jamaa aliekufumua na Arlteza ameamua kukupeleka nje ya Nchi ukaondoe sonona au BIMA wamekulipa?Nipo New york city
Hakuna mvua! Na hata ikitaka kushuka tunaamua sisi binadamu
Tabia za kike hizi.Ny City! ni yule jamaa aliekufumua na Arlteza ameamua kukupeleka nje ya Nchi ukaondoe sonona au BIMA wamekulipa?
Kumbe we shangingi unakiburi eeh?Tabia za kike hizi.
Tulia Fatuma.
Biashara karibia zote zinakuwa hoi kipindi hiki, hasa wanaouza maji na vinywaji baridi.Nawaonea huruma machinga na wamama wanaopanga vitu chini na wale wanaozungusha.
Biashara inakuwa ngumu sana.