Kachanchabuseta
JF-Expert Member
- Mar 8, 2010
- 7,263
- 685
Yuko makini sana,haja chakachua U-doctor wake so tegemea mabomu mengi zaidi ya hoja toka kwa vijana alio wafua
Mpaka sasa kaishiwa HOJA
labda ategemee upande mwingine wa imani
Jamani mtujuze hali ya Dr Slaa ikoje baada ya kuzimwa kila kitu.
Arusha ndo basi tena Meya katoka chamani
Katiba mpya mnyika kanyukwa
Jaman wenye kujua hali ya mzee huyu pressure inapanda pressure inashuka??
Jamani mtujuze hali ya Dr Slaa ikoje baada ya kuzimwa kila kitu.
Arusha ndo basi tena Meya katoka chamani
Katiba mpya mnyika kanyukwa
Jaman wenye kujua hali ya mzee huyu pressure inapanda pressure inashuka??
Mpaka sasa kaishiwa HOJA
labda ategemee upande mwingine wa imani
Acha majungu, fanya kazi.
'Acha majungu, fanya kazi.
Jamani mtujuze hali ya Dr Slaa ikoje baada ya kuzimwa kila kitu.
Arusha ndo basi tena Meya katoka chamani
Katiba mpya mnyika kanyukwa
Jaman wenye kujua hali ya mzee huyu pressure inapanda pressure inashuka??
'
unamana Slaa?, sasa hiv hana kazi anatembeza bakuri kama hana akili nzuri
Hilo bakuli analitembezea wapi?