Kachanchabuseta JF-Expert Member Joined Mar 8, 2010 Posts 7,263 Reaction score 684 Feb 8, 2011 #1 Jamani mtujuze hali ya Dr Slaa ikoje baada ya kuzimwa kila kitu. Arusha ndo basi tena Meya katoka chamani Katiba mpya mnyika kanyukwa Jaman wenye kujua hali ya mzee huyu pressure inapanda pressure inashuka??
Jamani mtujuze hali ya Dr Slaa ikoje baada ya kuzimwa kila kitu. Arusha ndo basi tena Meya katoka chamani Katiba mpya mnyika kanyukwa Jaman wenye kujua hali ya mzee huyu pressure inapanda pressure inashuka??
Speaker JF-Expert Member Joined Aug 12, 2010 Posts 6,324 Reaction score 2,242 Feb 8, 2011 #2 Yuko makini sana,haja chakachua U-doctor wake so tegemea mabomu mengi zaidi ya hoja toka kwa vijana alio wafua
Yuko makini sana,haja chakachua U-doctor wake so tegemea mabomu mengi zaidi ya hoja toka kwa vijana alio wafua
Kachanchabuseta JF-Expert Member Joined Mar 8, 2010 Posts 7,263 Reaction score 684 Feb 8, 2011 Thread starter #3 Speaker said: Yuko makini sana,haja chakachua U-doctor wake so tegemea mabomu mengi zaidi ya hoja toka kwa vijana alio wafua Click to expand... Mpaka sasa kaishiwa HOJA labda ategemee upande mwingine wa imani
Speaker said: Yuko makini sana,haja chakachua U-doctor wake so tegemea mabomu mengi zaidi ya hoja toka kwa vijana alio wafua Click to expand... Mpaka sasa kaishiwa HOJA labda ategemee upande mwingine wa imani
FarLeftist JF-Expert Member Joined Oct 20, 2010 Posts 363 Reaction score 21 Feb 8, 2011 #4 JEYKEYWAUKWELI said: Mpaka sasa kaishiwa HOJA labda ategemee upande mwingine wa imani Click to expand... Acha pumba wewe!
JEYKEYWAUKWELI said: Mpaka sasa kaishiwa HOJA labda ategemee upande mwingine wa imani Click to expand... Acha pumba wewe!
Lekanjobe Kubinika JF-Expert Member Joined Dec 6, 2006 Posts 3,019 Reaction score 580 Feb 8, 2011 #5 Usione kainama, akiinuka utatafuta dirisha la kutokea badala ya mlango ulipoingilia.
STEIN JF-Expert Member Joined Aug 29, 2010 Posts 1,772 Reaction score 555 Feb 8, 2011 #6 JEYKEYWAUKWELI said: Jamani mtujuze hali ya Dr Slaa ikoje baada ya kuzimwa kila kitu. Arusha ndo basi tena Meya katoka chamani Katiba mpya mnyika kanyukwa Jaman wenye kujua hali ya mzee huyu pressure inapanda pressure inashuka?? Click to expand... Acha majungu, fanya kazi.
JEYKEYWAUKWELI said: Jamani mtujuze hali ya Dr Slaa ikoje baada ya kuzimwa kila kitu. Arusha ndo basi tena Meya katoka chamani Katiba mpya mnyika kanyukwa Jaman wenye kujua hali ya mzee huyu pressure inapanda pressure inashuka?? Click to expand... Acha majungu, fanya kazi.
TUKUTUKU JF-Expert Member Joined Sep 14, 2010 Posts 11,763 Reaction score 4,046 Feb 8, 2011 #7 JEYKEYWAUKWELI said: Jamani mtujuze hali ya Dr Slaa ikoje baada ya kuzimwa kila kitu. Arusha ndo basi tena Meya katoka chamani Katiba mpya mnyika kanyukwa Jaman wenye kujua hali ya mzee huyu pressure inapanda pressure inashuka?? Click to expand... Vipi hali ya JK kutokana na kashfa zinazoikabili serikali yake!!
JEYKEYWAUKWELI said: Jamani mtujuze hali ya Dr Slaa ikoje baada ya kuzimwa kila kitu. Arusha ndo basi tena Meya katoka chamani Katiba mpya mnyika kanyukwa Jaman wenye kujua hali ya mzee huyu pressure inapanda pressure inashuka?? Click to expand... Vipi hali ya JK kutokana na kashfa zinazoikabili serikali yake!!
AMARIDONG JF-Expert Member Joined Jun 24, 2010 Posts 2,501 Reaction score 189 Feb 8, 2011 #8 Hamna cha presha hapa haya yote yalijulikana before
TUKUTUKU JF-Expert Member Joined Sep 14, 2010 Posts 11,763 Reaction score 4,046 Feb 8, 2011 #9 JEYKEYWAUKWELI said: Mpaka sasa kaishiwa HOJA labda ategemee upande mwingine wa imani Click to expand... Rafuthi kama ya maralia sugu vile!kumbe wapo wengi!JF imevamiwa na wahuni!!
JEYKEYWAUKWELI said: Mpaka sasa kaishiwa HOJA labda ategemee upande mwingine wa imani Click to expand... Rafuthi kama ya maralia sugu vile!kumbe wapo wengi!JF imevamiwa na wahuni!!
TUKUTUKU JF-Expert Member Joined Sep 14, 2010 Posts 11,763 Reaction score 4,046 Feb 8, 2011 #10 STEIN said: Acha majungu, fanya kazi. Click to expand... Atafanya kazi gani wakati hana kazi!kazi yake kuu ni kupiga majungu!!
STEIN said: Acha majungu, fanya kazi. Click to expand... Atafanya kazi gani wakati hana kazi!kazi yake kuu ni kupiga majungu!!
ANKOJEI JF-Expert Member Joined Nov 11, 2010 Posts 995 Reaction score 749 Feb 8, 2011 #11 check kwa facebook, yupo live and active. suala la katiba si la slaa ni wa watanzania wote,
W WildCard JF-Expert Member Joined Apr 22, 2008 Posts 7,505 Reaction score 2,417 Feb 8, 2011 #12 Dr Slaa sasa hivi ni TAASISI. Sio huyo mmoja unayemkaba wewe!
SAGAI GALGANO JF-Expert Member Joined Nov 13, 2009 Posts 49,973 Reaction score 75,055 Feb 8, 2011 #13 Hivi nyie waislamu chuki yenu kwa ukristo inawasaidia nini hasa zaidi ya kuonekana wavivu wa kufikiri.
Hivi nyie waislamu chuki yenu kwa ukristo inawasaidia nini hasa zaidi ya kuonekana wavivu wa kufikiri.
Kachanchabuseta JF-Expert Member Joined Mar 8, 2010 Posts 7,263 Reaction score 684 Feb 8, 2011 Thread starter #14 STEIN said: Acha majungu, fanya kazi. Click to expand... ' unamana Slaa?, sasa hiv hana kazi anatembeza bakuri kama hana akili nzuri
STEIN said: Acha majungu, fanya kazi. Click to expand... ' unamana Slaa?, sasa hiv hana kazi anatembeza bakuri kama hana akili nzuri
MartinDavid JF-Expert Member Joined May 22, 2009 Posts 874 Reaction score 145 Feb 8, 2011 #15 Hana haja ya kuropoka au kukurupuka kama wewe unavyofanya... Suala la katiba si la chadema bali ni la taifa suala la umeya arusha ni la waarusha wote kupanga.. Na tunajipanga ondoa shaka..
Hana haja ya kuropoka au kukurupuka kama wewe unavyofanya... Suala la katiba si la chadema bali ni la taifa suala la umeya arusha ni la waarusha wote kupanga.. Na tunajipanga ondoa shaka..
semango JF-Expert Member Joined Aug 24, 2010 Posts 532 Reaction score 45 Feb 8, 2011 #16 JEYKEYWAUKWELI said: Jamani mtujuze hali ya Dr Slaa ikoje baada ya kuzimwa kila kitu. Arusha ndo basi tena Meya katoka chamani Katiba mpya mnyika kanyukwa Jaman wenye kujua hali ya mzee huyu pressure inapanda pressure inashuka?? Click to expand... we umelogwa na aliyekuloga kafa
JEYKEYWAUKWELI said: Jamani mtujuze hali ya Dr Slaa ikoje baada ya kuzimwa kila kitu. Arusha ndo basi tena Meya katoka chamani Katiba mpya mnyika kanyukwa Jaman wenye kujua hali ya mzee huyu pressure inapanda pressure inashuka?? Click to expand... we umelogwa na aliyekuloga kafa
M Msindima JF-Expert Member Joined Mar 30, 2009 Posts 1,018 Reaction score 35 Feb 8, 2011 #17 JEYKEYWAUKWELI said: ' unamana Slaa?, sasa hiv hana kazi anatembeza bakuri kama hana akili nzuri Click to expand... Hilo bakuli analitembezea wapi?
JEYKEYWAUKWELI said: ' unamana Slaa?, sasa hiv hana kazi anatembeza bakuri kama hana akili nzuri Click to expand... Hilo bakuli analitembezea wapi?
Jackbauer JF-Expert Member Joined Oct 28, 2010 Posts 6,068 Reaction score 2,225 Feb 8, 2011 #18 Yaliyoibuliwa na slaa mpaka leo yanatikisa nchi!unataka atoe mengine si itakua balaa!
Kachanchabuseta JF-Expert Member Joined Mar 8, 2010 Posts 7,263 Reaction score 684 Feb 8, 2011 Thread starter #19 Msindima said: Hilo bakuli analitembezea wapi? Click to expand... kwani wewe hujui?
Daudi Mchambuzi JF-Expert Member Joined Nov 25, 2010 Posts 62,190 Reaction score 128,243 Feb 8, 2011 #20 Unauliza maswali na kujijibu mwenyewe. umetumwa????