Hali ya Barabara Jimboni kwa Mwakyembe!!

Hali ya Barabara Jimboni kwa Mwakyembe!!

What's your point? Mwakyembe kutokuwa na barabara nzuri jimboni kwake kuna uhusiano gani na ufanisi wake wa kazi? Wizara ya ujenzi ndiyo yenye maamuzi kuhusu ni barabara zipi zitengenezwe na zipi ziachwe. Hata waziri wa ujenzi mwenyewe hawezi kuamua kuwa ajenge barabara za jimboni kwake kama haziko kwenye priority ya mipango ya serikali. Unataka kuniambia kuwa hilo hulijui? Kama tunataka viongozi wetu wafanye kazi kwa ufanisi lazima na sisi tuwa judge kwa haki bila kuwaonea. Responsibility is for all of us!!


Point. Suala lamsingi hapa ni kuboresha pato la taifa na kubuni vyanzo ili ikifikia suala la bajeti ipangwe bajeti isiyo na mapengo

Pia suala kubwa la msingi ni kuhakikisha pesa zinazotengwa zinakwenda kufanya shughuli katika kiwango sahihi.
 
What's your point? Mwakyembe kutokuwa na barabara nzuri jimboni kwake kuna uhusiano gani na ufanisi wake wa kazi? Wizara ya ujenzi ndiyo yenye maamuzi kuhusu ni barabara zipi zitengenezwe na zipi ziachwe. Hata waziri wa ujenzi mwenyewe hawezi kuamua kuwa ajenge barabara za jimboni kwake kama haziko kwenye priority ya mipango ya serikali. Unataka kuniambia kuwa hilo hulijui? Kama tunataka viongozi wetu wafanye kazi kwa ufanisi lazima na sisi tuwa judge kwa haki bila kuwaonea. Responsibility is for all of us!!
kule ambako kuna barabara nzuri kuna nini cha zaidi walichoifanyia nchi hii ? kila mbunge anatakiwa kupigania maendeleo ya eneo lake kwa nguvu zote , hatutamsamehe mtu yeyote anayekwamisha maendeleo ya kyela kwa kisingizio chochote , kiukweli muda wa Mwakyembe kuongoza kyela ulishafikia kikomo tangu oct 25 , sema mengine hatuna haja ya kuyaandika hapa , KYELA KWANZA , mtu baadaye .
 
tatizo kubwa la mwakyembe ni kudhani kuwa anajua kuliko mtu yoyote , hana ule uwakilishi wa kibunge kwa maana ya kushawishi wadau wa kyela kuingia katika mjadala wa kuokoa kyela , mwache aendelee kuhakikisha kyela inatokomea tuone mwisho wake .
Uko sawa Mkuu!! Ni kama vile dharau zimemzidi, Nilisha wai stay kyela kama 3wks, Nilipapenda sana na kama kyela ingepata Mbunge makin wangekuwa mbali sana kimaendeleo
 
aliyekuwa waziri wa ujenzi amepanda cheo , huyo ndio anaweza kujibu swali lako .
Ha ha ha asante kiongozi, lkn nilihitaji nahuyu kada anijibu kutokana Na maelezo yake, mleta mada kasema barabara ya mwakyembe kila siku mafundi wako wanaikarabati, sasa kwann ikarabatiwe kila siku? Limekuwa tatizo sugu hili, barabara inatengenezwa Leo kesho haipo nn maana yake? Km si matumizi mabaya ya fedha ukiwamo ufisadi ndani yake, ingalikuwa uchina bosi wa hiyo wizara wakati huo sasa angelikuwa segerea
 
What's your point? Mwakyembe kutokuwa na barabara nzuri jimboni kwake kuna uhusiano gani na ufanisi wake wa kazi? Wizara ya ujenzi ndiyo yenye maamuzi kuhusu ni barabara zipi zitengenezwe na zipi ziachwe. Hata waziri wa ujenzi mwenyewe hawezi kuamua kuwa ajenge barabara za jimboni kwake kama haziko kwenye priority ya mipango ya serikali. Unataka kuniambia kuwa hilo hulijui? Kama tunataka viongozi wetu wafanye kazi kwa ufanisi lazima na sisi tuwa judge kwa haki bila kuwaonea. Responsibility is for all of us

Mwakyembe is a non performer and he was lucky this time around but for sure he knows that now his time is up!! Jamaa hafanyi kitu kule Kyela kazi yake ubishoo tu, Safari hii alichakachua come 2020 itabidi arudi kufundisha tu!!Mbunge is judged by what he has delivered na sio kuhonga fedha wakati wa uchaguzi.
 
Mwakyembe tumesali naye juzi pale kunduchi.akapewa nafasi aongee.aliongea ukweli na akaweka unafki pembeni.akasema serikali iliyopita ilikua inafanya mambo ya kujimaliza yenyewe.
 
What's your point? Mwakyembe kutokuwa na barabara nzuri jimboni kwake kuna uhusiano gani na ufanisi wake wa kazi? Wizara ya ujenzi ndiyo yenye maamuzi kuhusu ni barabara zipi zitengenezwe na zipi ziachwe. Hata waziri wa ujenzi mwenyewe hawezi kuamua kuwa ajenge barabara za jimboni kwake kama haziko kwenye priority ya mipango ya serikali. Unataka kuniambia kuwa hilo hulijui? Kama tunataka viongozi wetu wafanye kazi kwa ufanisi lazima na sisi tuwa judge kwa haki bila kuwaonea. Responsibility is for all of us!!
 
Uko sawa Mkuu!! Ni kama vile dharau zimemzidi, Nilisha wai stay kyela kama 3wks, Nilipapenda sana na kama kyela ingepata Mbunge makin wangekuwa mbali sana kimaendeleo
tutahakikisha kyela inakombolewa , shaka ondoa .
 
Wanapoomba kura wanasema: nitafanya, nitahakikisha hiki au kile kitanyika, ntamwona fulani ili lifanyike. Leo unatetea kwamba yeye hanamamlaka ya kusimamia barabara ikajengwa vzr ndani ya jimbo lake! Maslahi ya matumbo yenu yanawatoa akili mpaka mnaongea km hata shule hamkwenda.
 
Duuuh!! Kumbe Barabara Mbovu Ni Hizi Za Huku Nyakanazi, Lusahunga, Nyakahura Hadi Rusumo Border Tu!! Kumbe Hata Huko Hali Ni Vivyo Hivyo Tu!!!
Hata huku Mwananyamala, Tandale, Tabata, Vigunguti hali ni mbaya sana kuliko huko Kyela na huko kwako Rusumo, Nyakahura, Nyakanazi etc
 
kama wewe ni mtu makini atagundua kwamba,miji yote yenye wanaccm kidakidaki maendeleo ni hovyo kabisa kama ilivyo Chalinze
 
Nimepita hapo wiki Jana ni Shida kweli Kyela haina mbunge kina nafuu kipande kidogo toka njia panda lakini mbele ya njiapanda ya ipinda ni matobo tu,next tym mpigeni chini Mwaky
 
mwakyembe ana hati miliki na jimbo la kyelaa hawezii pigwaa chinii kamwe labda astafuu mwenyewe
 
Hii ilikuwa barabara bora kabisa miaka ya tisini, ni toka njia panda ya Border mpaka Itungi port!! Mwanzoni mwa miaka ya 2000 ilifumuliwa na kujengwa upya, hapo ndipo matatizo yalipoanzia.. Hii ni moja ya barabara mbovu kabisa kupata kutokea kama mnavyoona pichani, imejaa mashimo kila pahala na mvua ikinyesha ni madimbwi matupu!! Kila kukicha mafundi wapo barabarani, lakini hakuna nafuu!!

Magufuli tunaomba imulike barabara yetu, kuna watu wameigeuza kuwa mradi na ajira ya kudumu kwao, ni kheri ifumuliwe na kujengwa upya kuliko huu uhuni unaofanyika!

f66c6171e2deb3eed96d7877dbd163e1.jpg
Hapo ndipo mitaa ya home
Kwa mbele hapo ni mashineni,kama unapanda juu utapita Unenamwa,utapita kwa Kelekalile,then utapanda mbele hadi kwa Mbunge Kasyupa,utaiingia kwa Mbunge Mwakipesile then utafika kwa Kanali Nsajigwa Nsa Kabenga Kaisi then utafika nyumbani kwa Meja Jenerali Mwakisunga na sasa utakuwa kijiji cha Nkuyu!

Kama unashuka chini kwenda mjini utapita Msikiti wa Shehe Kitutu,utapita kwa Mwammenywa,utapita kwa Mwangosi then utaiona CCM

Kyela bana,born and raise there!
 
Mwakyembe tumesali naye juzi pale kunduchi.akapewa nafasi aongee.aliongea ukweli na akaweka unafki pembeni.akasema serikali iliyopita ilikua inafanya mambo ya kujimaliza yenyewe.
Asitubabaishe, angejiuzulu ili kujitenga na hiyo serikali. Mengine ni unafiki
 
Hata huku Mwananyamala, Tandale, Tabata, Vigunguti hali ni mbaya sana kuliko huko Kyela na huko kwako Rusumo, Nyakahura, Nyakanazi etc
Kwa hiyo wanyamaze? Unachekesha. Badala wote wadai maendeleo, sio kutetea udhaifu
 
Back
Top Bottom