TikTok2020
JF-Expert Member
- Oct 20, 2022
- 1,814
- 3,155
Poleni na wanakigamboni hamuwezi kufanya push back 🔙 ili to draw attention kutoka kwa wahusika, mbunge wenu anaitwa nani na ametokea chama gani?Kwa masikitiko makubwa naomba serikali iingilie kati suala la VIVUKO VYA KIGAMBONI kutokana na hali ya uchakavu iliyopo katika VIVUKO hivyo ili kunusuru majanga yanayoweza kutokea...
Wanakataza kurekodi video au kupiga picha ww ulirekodijeKwa masikitiko makubwa naomba serikali iingilie kati suala la VIVUKO VYA KIGAMBONI kutokana na hali ya uchakavu iliyopo katika VIVUKO hivyo ili kunusuru majanga yanayoweza kutokea..
We kwani hujui tabia za mashilawaduWanakataza kurekodi video au kupiga picha ww ulirekodije
yani sio kidogo kama jana ilikuwa disaster inasikitisha serikali haiangalii hilo naona inasubiri mpaka madhara yatokee,Pantoni mbili Mv Magogoni na Kivukoni mbovu zimechakaa inaonekana maintanance hazifanywi,Mv Kazi imetoka matengenezo hivi karibuni lakini engine haziwashwi zote kwa hiyo na yenyewe itachoka mapema sanaKigamboni ishakua kero
Pale kumeoza kabisa yani angekua mwendazake angeruka nao ili auze siasayani sio kidogo kama jana ilikuwa disaster inasikitisha serikali haiangalii hilo naona inasubiri mpaka madhara yatokee,Pantoni mbili Mv Magogoni na Kivukoni mbovu zimechakaa inaonekana maintanance hazifanywi,Mv Kazi imetoka matengenezo hivi karibuni lakini engine haziwashwi zote kwa hiyo na yenyewe itachoka mapema sana
kabisa kwanza nadhani angekuwepo JPM yasingekuwa haya kwa sababu ya kuogopa ila sasa hakuna wanaemuogopa mambo yamerudi kama zamaniPale kumeoza kabisa yani angekua mwendazake angeruka nao ili auze siasa
Hamna ambaye angefanya ujinga wa kuhatarisha ugali wake.🤣kabisa kwanza nadhani angekuwepo JPM yasingekuwa haya kwa sababu ya kuogopa ila sasa hakuna wanaemuogopa mambo yamerudi kama zamani
Mungu atunusuru haya mambo ya maono tusiyachukulie poa.Kale kajamaa kanachohubiri kwenye Azam sea tax. Alisema kuna mtu kaona maono kuwa anaona ajali kwenye kivuko cha Pantoni kikizama... Wakati anasema hayo Mv kigamboni wamekwama pale
Tulikuwa kwenye sea tax ikapigwa na dhoruba ikaenda kujibamiza kwenye mv magogoni.
Wanakigamboni Mungu atulinde tu. But hali ni mbaya.
Lini hio kaka yule pastor wa sea taxi wa mchongo sanaKale kajamaa kanachohubiri kwenye Azam sea tax. Alisema kuna mtu kaona maono kuwa anaona ajali kwenye kivuko cha Pantoni kikizama... Wakati anasema hayo Mv kigamboni wamekwama pale
Tulikuwa kwenye sea tax ikapigwa na dhoruba ikaenda kujibamiza kwenye mv magogoni.
Wanakigamboni Mungu atulinde tu. But hali ni mbaya.
Mimi nadhani jamii ya watu weusi ilikwisha laaniwa, jamii dhaifu.Mtu mweusi ni tatizo aisee. Hizi mwendokasi tu zingekuwa na utaratibu mzuri na ratiba inayoeleweka yaani ingekuwa game changer. Lakini sasa unakuta foleni ndefu hatari watu wamesimama mpaka wamechoka kusubiri; na kuna mabasi hata 10 yapo tu idle madereva wanapiga stori. Na hakuna anayejali. Hata sijui tatizo letu ni nini. Hata kama tumetokana na manyani this is just too much...Tutabadilika lini?
PIGENI MBIZI WANANCHIKwa masikitiko makubwa naomba serikali iingilie kati suala la VIVUKO VYA KIGAMBONI kutokana na hali ya uchakavu iliyopo katika VIVUKO hivyo ili kunusuru majanga yanayoweza kutokea.
Tangu hii wiki ianze wananchi wamekuwa wakiteseka sana pale kwa foleni ndefu magari na mlundikano mkubwa kwenye zile sehemu za kukaa abiria kitu ambacho si salama kiafya lakini inaonekana hakuna hata mtu anaejali kuhusu hilo.
Leo jioni kumetokea sintofahamu kwenye Mv Kigamboni kuzima katikati ya maji na kulazimika kurudi Kivukoni na kushusha abiria.
Kinachosikitisha zaidi huwezi kukutana na habari hii kwenye chombo chochote cha habari nadhani wanasubiri taarifa za maafa ndio wazipe kipaumbele.
Serikali tunaomba muingilie kati hili suala
View attachment 2495684View attachment 2495686