Hali tete, Salumu Mwalimu keshashindwa kabla ya uchaguzi

SONGOKA

JF-Expert Member
Mar 8, 2012
1,843
1,841
Kama kuna uchaguzi CHADEMA tungeshinda kilaini na asubui ni huu wa Kinondoni, lakini tutashindwa miserably kwa sababu ya sarakasi za Mwenyekiti.

Mpaka sasa baadhi ya makamanda hapa ufipa watashangilia bwana Mwalimu akishindwa uchaguzi wa kinondoni na wanateta eti hawatamsaidia chochote katika kampeni hizi. Issue iko hivi;

Makamanda waliambiwa hatushiriki uchaguzi wowote wa marudio, hivyo makamanda waka back down. Lakini bila kuwepo mchakato shirikishi wa kichama, ghafla Mbowe akabadili gia angani na kuamua eti tutashiriki uchaguzi wa ubunge na hapohapo akawa na mapendekezo yake ya wagombea. Hii ikawanyima makamanda kindakindaki nafasi ya uteuzi.

Sasa kuna makamanda wanahisi kuzungukwa katika hili, na wanaamini uteuzi wa Mwalimu haukufuata taratibu. Kwa msingi huu, makamanda wamemgomea.
 
Kama kuna uchaguzi CHADEMA Tungeshinda kilaini na asubui ni huu wa KINONDONI, lakini tutashindwa miserably kwa sababu ya sarakasi za mwenyekiti.

Mpaka sasa baadhi ya Makamanda hapa ufipa watashangilia bwana Mwalimu akishindwa uchaguzi wa kinondoni na wanateta eti hawatamsaidia chochote katika kampeni hizi. Issue iko hivi

Makamanda waliambiwa hatushiriki uchaguzi wowote wa marudio, hivyo makamanda waka back down. Lakini bila kuwepo mchakato shirikishi wa kichama, ghafla Mbowe akabadili gia angani na kuamua eti tutashiriki uchaguzi wa ubunge na hapohapo akawa na mapendekezo yake ya WAGOMBEA. Hii ikawanyima makamanda kindakindaki nafasi ya uteuzi

Sasa kuna makamanda wanahisi kuzungukwa katika hili, na wanaamini uteuzi wa mwalimu haukufuata taratibu. Kwa msingi huu , makamanda wamemgomea
Hao makamanda hata Mimi wananivunja moyo wamekua kama mijusi ugonvi mkubwa mwisho wasiku akitokea binadamu wanaingia shimo moja
 
Kama kuna uchaguzi CHADEMA Tungeshinda kilaini na asubui ni huu wa KINONDONI, lakini tutashindwa miserably kwa sababu ya sarakasi za mwenyekiti.

Mpaka sasa baadhi ya Makamanda hapa ufipa watashangilia bwana Mwalimu akishindwa uchaguzi wa kinondoni na wanateta eti hawatamsaidia chochote katika kampeni hizi. Issue iko hivi

Makamanda waliambiwa hatushiriki uchaguzi wowote wa marudio, hivyo makamanda waka back down. Lakini bila kuwepo mchakato shirikishi wa kichama, ghafla Mbowe akabadili gia angani na kuamua eti tutashiriki uchaguzi wa ubunge na hapohapo akawa na mapendekezo yake ya WAGOMBEA. Hii ikawanyima makamanda kindakindaki nafasi ya uteuzi

Sasa kuna makamanda wanahisi kuzungukwa katika hili, na wanaamini uteuzi wa mwalimu haukufuata taratibu. Kwa msingi huu , makamanda wamemgomea
Acha siasa za majichoo wewe! Hakuna kitu kama hicho cdm kwani mipango yote ya uchaguzi ilipata baraka za vyombo husika na hata michakato ilizingatiwa. Hizi ni mbinu tu za hawa wanachama bidhaa kutaka kuwavuruga wanacdm halisi kwa njaa zao.
Hata kama Salum akikaa nyumbani bila kwenda kwenye mikutano ya kampeni atachaguliwa na kuwa mbunge wa kinondoni kwani ana sifa za kipekee sana tofauti na huyo asiye na msimamo mwenye kuota kujenga maghorofa as if yataajiri!
 
Wakati cdm inalilia demokrasia kiukweli nilishangazwa jinsi alivopatikanwa huyu salum.
 
Kama kuna uchaguzi CHADEMA tungeshinda kilaini na asubui ni huu wa Kinondoni, lakini tutashindwa miserably kwa sababu ya sarakasi za Mwenyekiti.

Mpaka sasa baadhi ya makamanda hapa ufipa watashangilia bwana Mwalimu akishindwa uchaguzi wa kinondoni na wanateta eti hawatamsaidia chochote katika kampeni hizi. Issue iko hivi;

Makamanda waliambiwa hatushiriki uchaguzi wowote wa marudio, hivyo makamanda waka back down. Lakini bila kuwepo mchakato shirikishi wa kichama, ghafla Mbowe akabadili gia angani na kuamua eti tutashiriki uchaguzi wa ubunge na hapohapo akawa na mapendekezo yake ya wagombea. Hii ikawanyima makamanda kindakindaki nafasi ya uteuzi.

Sasa kuna makamanda wanahisi kuzungukwa katika hili, na wanaamini uteuzi wa Mwalimu haukufuata taratibu. Kwa msingi huu, makamanda wamemgomea.
Mbona nyie CCM mmewapitisha wagombea wenu bila kura za maoni? Acha ujinga uvccm wee
 
Kama kuna uchaguzi CHADEMA tungeshinda kilaini na asubui ni huu wa Kinondoni, lakini tutashindwa miserably kwa sababu ya sarakasi za Mwenyekiti.

Mpaka sasa baadhi ya makamanda hapa ufipa watashangilia bwana Mwalimu akishindwa uchaguzi wa kinondoni na wanateta eti hawatamsaidia chochote katika kampeni hizi. Issue iko hivi;

Makamanda waliambiwa hatushiriki uchaguzi wowote wa marudio, hivyo makamanda waka back down. Lakini bila kuwepo mchakato shirikishi wa kichama, ghafla Mbowe akabadili gia angani na kuamua eti tutashiriki uchaguzi wa ubunge na hapohapo akawa na mapendekezo yake ya wagombea. Hii ikawanyima makamanda kindakindaki nafasi ya uteuzi.

Sasa kuna makamanda wanahisi kuzungukwa katika hili, na wanaamini uteuzi wa Mwalimu haukufuata taratibu. Kwa msingi huu, makamanda wamemgomea.
Acha ramli nyau wewe, ya kwenu yamewashida mtaweza ya jirani???
 
IMG_20180128_005922.jpg
 
Hao makamanda hata Mimi wananivunja moyo wamekua kama mijusi ugonvi mkubwa mwisho wasiku akitokea binadamu wanaingia shimo moja
Nilikuwa sijacheka leo eti wako kama mijusi wanagombana akitokea Mbowe wanaingia shimo moja hahahahaaa.
 
Mbona nyie CCM mmewapitisha wagombea wenu bila kura za maoni? Acha ujinga uvccm wee

Chama cha Demokrasia na Maendeleo. Acha upumbavu wewe. Toa hoja. Mana CCM SI Mlishihukumu na kuizika sasa Marehemu unamsema wa nini. Tuambie kuhusu Demokrasia na Maendeleo
 
Kama kuna uchaguzi CHADEMA tungeshinda kilaini na asubui ni huu wa Kinondoni, lakini tutashindwa miserably kwa sababu ya sarakasi za Mwenyekiti.

Mpaka sasa baadhi ya makamanda hapa ufipa watashangilia bwana Mwalimu akishindwa uchaguzi wa kinondoni na wanateta eti hawatamsaidia chochote katika kampeni hizi. Issue iko hivi;

Makamanda waliambiwa hatushiriki uchaguzi wowote wa marudio, hivyo makamanda waka back down. Lakini bila kuwepo mchakato shirikishi wa kichama, ghafla Mbowe akabadili gia angani na kuamua eti tutashiriki uchaguzi wa ubunge na hapohapo akawa na mapendekezo yake ya wagombea. Hii ikawanyima makamanda kindakindaki nafasi ya uteuzi.

Sasa kuna makamanda wanahisi kuzungukwa katika hili, na wanaamini uteuzi wa Mwalimu haukufuata taratibu. Kwa msingi huu, makamanda wamemgomea.
Majungu,
Weka Picha ili tuamini
 
Kama kuna uchaguzi CHADEMA tungeshinda kilaini na asubui ni huu wa Kinondoni, lakini tutashindwa miserably kwa sababu ya sarakasi za Mwenyekiti.

Mpaka sasa baadhi ya makamanda hapa ufipa watashangilia bwana Mwalimu akishindwa uchaguzi wa kinondoni na wanateta eti hawatamsaidia chochote katika kampeni hizi. Issue iko hivi;

Makamanda waliambiwa hatushiriki uchaguzi wowote wa marudio, hivyo makamanda waka back down. Lakini bila kuwepo mchakato shirikishi wa kichama, ghafla Mbowe akabadili gia angani na kuamua eti tutashiriki uchaguzi wa ubunge na hapohapo akawa na mapendekezo yake ya wagombea. Hii ikawanyima makamanda kindakindaki nafasi ya uteuzi.

Sasa kuna makamanda wanahisi kuzungukwa katika hili, na wanaamini uteuzi wa Mwalimu haukufuata taratibu. Kwa msingi huu, makamanda wamemgomea.



Mganga wa kienyeji akiwa anapiga ramli!!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom