Mabom yanapigwa hapa kama radi, ni ngurumo kuuuubwa cha ajabu wananchi wanazidi kujaa hapa wakiimba pipozzzzz pawa. Usa haifaiiiiiii.
Msiniponiona tena mjue bomu limeongea na mimi
Hali ngumu;novatus makunga ashindwa kwwenda arumeru. Chimbuko la mabomu ni gari la bossi wa polisi limeshambuliwa na hivyo polisi naona wanajibu mashambulizi
Kwenye ukumbi kumetokea tafrani; jamaa ameshikwa akikabidhi form nyingine siyo zilizotoka vituoni. Lema- karibu zipigwe; Mtuhumiwa katolewa nje na polisi kwa mahojiano zaidi. Mungu ibariki Arumeru
Huu ubabe anaotuonesha ni kwasababu anaogopa CHADEMA wakikamata nchi yeye hana salama; atasimamishwa kizimbani baada ya kumvua hiyo immunity yake!! Anapanda majukwaani kama njia ya kujihami!!
Mabom yanapigwa hapa kama radi, ni ngurumo kuuuubwa cha ajabu wananchi wanazidi kujaa hapa wakiimba pipozzzzz pawa. Usa haifaiiiiiii.
Msiniponiona tena mjue bomu limeongea na mimi