Otorong'ong'o
JF-Expert Member
- Aug 17, 2011
- 37,444
- 25,591
We haramu sisi ndo vijana wa Arusha na maisha ni safi......Arusha inawatalii wengi mwaka huu kulinganisha na miaka mingine..
Acha kulia Lia wewe na kukimbilia kwa mods, vijana WA arusha wana hali mbaya kiuchumi
Jibu hoja acha kukimbilia kwa mods we maandazi.
Naona wa buku 7 mmejaa ,kweli chadema imewashika pabaya ,kila siku stori mpya siasa hizi mtaacha lini,Kama mnaweza kutunga hiv c mpge kolabo na ommy sio kla sku kupokea buku 7
lema anajenga magorofa njiro. vijana wa chadema arusha wanapiga miayo wamepigika kichizi , kweli lema amewaingiza chaka
Hawa viwavi wa Lumumba wameamka kwenye usingizi wa ndoto za mchana nini..?
mkuu telabite hv naww huwa unakunywa gongo?
Mkuu Invisible inabidi uhakiki wa I.D uendelee hawa buku 7 sasa ni janga la JF wamekuwa weupe sana vichwani wao ni kuandika utumbo tu JF ili kuharibu mtitiriko wa mada JF hapa, liangaliwe hili kwa mapana, na uchangiaji wao ni nusu mstari au mstari mmoja
lema anajenga magorofa njiro. vijana wa chadema arusha wanapiga miayo wamepigika kichizi , kweli lema amewaingiza chaka
Mkuu nasikia wewe Nape ndo kakunasa kibao maana ndo unaoneka zezeta sana...Unashinda JF lakini una-post pumba......
Njaa mbaya sana...