LOOOK
JF-Expert Member
- May 17, 2011
- 3,389
- 672
Naona watumwa wa buku 7 mmejianzishia thread na kujijibu....
Poleni sana...mtakaa na fikra zetu finyu na mitizamo ya kutumwa na wenye nacho hadi mnakufa.
Suala mnalozungumzia sio la Arusha bali la Tanzania nzima...watu ni maskini kwa sababu pesa za maendeleo ndo mnagawiwa ninyi hizo buki 7 kuleta topic za kipuuzi humu km hii.
Hebu kuweni kiakili basi muwe na utu HURU mmekuwa watumwa vya kutosha sasa hebu tumieni akili zenu kufikiri na sio za wenzenu au ma------.
mkuu hutakiwi kuhangaika nao hawa waache wajibizane wenyewe ,wenzio tumesha waona wapumbavu ndio mana unaona thred zao wana jijibu wenye.tunawacha tu mkuu. Kujibizana -------- na wewe utakuwa -------- zaidi mkuu achana nao. Wakati wao wakiendelea kuhangaika na chadema wanachadema wanaendelea kutoa elimu ya uraia kwa waanzania.