Kilasi Mkuu
JF-Expert Member
- Nov 25, 2013
- 2,325
- 724
Wakuu nilikuwa napita kuelekea mikoa ya kusini katika jimbo la Kalenga katika kata ya Ifunda.Nikaona pilika pilika za magari ya ccm nikaamua ni pumzike kidogo kabla ya kuendelea na safari hapo jana.Japo kuwa mi si mwenyeji wa koa huu niliamua niwapate watu wa chache wa ku shear kidogo.Jana ilikuwa ndiyo uzinduzi wa kampeni kwa ccm waliofanyia pale Ifunda.CCM kwa kubaini hali ilio kuwepo walisomba watu toka sijui wapi waliingi na mabasi matatu ya Upendo,na vihice vingi ili angalau kujaza watu pale kwenye mkutano.Wenyeji walionekana kuendelea na shughuli zao huku wengine wakionekana wakilinda bendela zao za cdm.
Watu kadhaa nilo ongea nao wanasema tatizo ni aina ya mgombea waliomweka ccm hakubaliki.Si tu kwamba hajaishi jimboni humo na kuwa amekulia Ulaya na hata kupata mke mzungu,bali pia hana muvuto wowote wa kisiasa.Binafsi nililithibitisha hilo mara alipo panda jukwaani.kwakweli anaonekana amelazimishwa tu mambo ya kugombea.Kuna maneno aliyo ambiwa ayaseme,lakini hawezi kuyajengea hoja kabisa.
Kifupi pale Ifunda alionekana kukataliwa kabisa.Sasa wana sema maeneo mengine kama Kata ya Wasa,Kalenga penyewe,Ugwachanya,Kihuwele nk kote huko ameonekana kukataliwa.Wengi wakisema hana uwezo wa kuwawakilisha na wengine wakisema nafasi ya Ubunge siyo ya urithi,hivyo kama baba yake kama alikuwa mbunge si vema mtioto wake akamrithi.
Watu kadhaa nilo ongea nao wanasema tatizo ni aina ya mgombea waliomweka ccm hakubaliki.Si tu kwamba hajaishi jimboni humo na kuwa amekulia Ulaya na hata kupata mke mzungu,bali pia hana muvuto wowote wa kisiasa.Binafsi nililithibitisha hilo mara alipo panda jukwaani.kwakweli anaonekana amelazimishwa tu mambo ya kugombea.Kuna maneno aliyo ambiwa ayaseme,lakini hawezi kuyajengea hoja kabisa.
Kifupi pale Ifunda alionekana kukataliwa kabisa.Sasa wana sema maeneo mengine kama Kata ya Wasa,Kalenga penyewe,Ugwachanya,Kihuwele nk kote huko ameonekana kukataliwa.Wengi wakisema hana uwezo wa kuwawakilisha na wengine wakisema nafasi ya Ubunge siyo ya urithi,hivyo kama baba yake kama alikuwa mbunge si vema mtioto wake akamrithi.