Hali si nzuri kwa ccm Kalenga

Hali si nzuri kwa ccm Kalenga

sipati bicha mabillion ya ccm yanayo potelea kalenga, maana nlipishana na misafara wa magari zaidi 40 maeneo ya mikumi gari hizo zilikuwa zikielekea kalenga.
 
Chadema inahaki ya kushinda na ccm wana mabavu ya kushinda.
 
Chris Lukosi aliapa kuwa CDM hamshindi Kalenga na mkishinda atatembea kwa miguu toka UK hadi bongo

Mkuu hivi huwa unatilia maanani kauli za yule jamaa..!? Kile kichwa kina matatizo makubwa.
 
Chris Lukosi aliapa kuwa CDM hamshindi Kalenga na mkishinda atatembea kwa miguu toka UK hadi bongo

Tambwe hiza aliapa siku akirudi ccm atamlala mamaake! Nadhani alishamaliza maana tayari yupo huko!
 
Huyu anaweza kwenda bungeni. Kwenye nchi hii hilo ni la kawaida.
Nakumbuka mwaka 2005, nikiwa Mza, mgombea wa CCM alikuwa akizindua kampeni zake. Wapambe wake walianza kwa kumtambulisha na baadae wakamkaribisha ajitambulishe na aongee na wananchi. Bwana huyu aliposimama, alijitambulisha jina lake na akaongeza kwamba, "Mimi ndiye mgombea ubunge katika jimbo la..." akainama kuwauliza wapambe wake na sauti ilisikika kwenye kipaza sauti "Jimbo la wapi......", wakamjibu "Nyamagana".... Huyu bwana alishinda na akaingia Bungeni na baadae akawa waziri wa wizara nyeti tu hapa nchini. Kwa hiyo sio ajabu huyo nae hata kama mnamuona kama amelzaimishwa, akashinda na kuingia bungeni.

Hii kali sana cc Elli.
 
Last edited by a moderator:
Piga kura linda kura atakayepata kura nyingi ndiye mshindi awe CCM au CDM au chama kingine. Kinachokasirisha wananchi ni uchakachuaji!
 
Back
Top Bottom