Airtel inayumba sehemu zote iliyopo Afrika na wameshatangulia kuuza minara kwenye nchi nyinginezo, Tigo wameamua kuondoka Afrika nzima na wameshauza hisa zake nchini Ghana. Kampuni za simu zilimeenjoy high time kwa muda mrefu, ni muda kujiadjust kuendana na hali. Kama serikali ikifikiria wa kuwanasua nadhani waanze na wadau walio kwenye sekta ya Utalii ambao tangu covid ishamiri wako juu ya mawe.
Wakijaribu tena kuja na vifurushi vipya yatawakuta ya last time na mama hana msuli wa kuwakazia wananchi kama mtangulizi wake.