Hali si njema kwenye Makampuni ya Mawasiliano, Serikali iamke kutoka kwenye Usingizi wa Pono

Na haya yote yamesababishwa na Ndugai, Juma, Magufuli
Hii mihimili 3 ndo chanzo cha matatizo
Tatizo ni nini? Tanzania hadi hivi sasa inatoza gharama kubwa sana za simu , Je, ni kwa sababu haya makampuni yanachukua/wana charge kiwango kikubwa? Kodi ambayo inatozwa na Serikali ni standard shida ni nini hasa? Au kuna wale wanaopenda kuishi kama malaika kwa kutumia haya makampuni?
 
Na haya yote yamesababishwa na Ndugai, Juma, Magufuli
Hii mihimili 3 ndo chanzo cha matatizo
Jibu ni jepesi tu pesa mtaani hakuna watu tunaweza vocha ya 500 kwa wiki
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…