Hali ni tete ndani ya UKAWA

Hali ni tete ndani ya UKAWA

Ukiwa kwisha hata kama hutaki, mgombea mbovu, umoja hakuna, mbowe kawa dikteta, ilani hamna ..yaaani nyie ni wa kupigwa tu na tutawatandika this time mpaka mjinyee kama jamaa yenu

Na nyie wenye ilani, hyo ilani yenu imewasaidiaje wananchi...
 
Jamani ukawa mmewafanya nini wenzenu wa lu mu mba mbona kila saa ukawa ukawa ukawa,hawalali wenzenu si muwasamehe tu,halafu mlivyo na jeuri kama vile hamuwasikii wenzenu yani wanakonda kwaajili yenu hawali,hawanywi,hawalali wala hawakunyi wanawawaza ninyi tu,kweli nimeamini UKAWA mnapendwa hadi raha
 
Kama ilivyotarajiwa na Watanzania wengi ile safari iliyianzishwa na vyama vinne vya siasa nchini Tanzania yaani CHADEMA, CUF, NCCR MAGEUZI na NLD inaelekea ukingoni kutokana na mambo kadhaa wa kadhaa ambayo yameendelea kufukuta ndani ya UKAWA kwa wiki kadhaa sasa. Chanzo cha mgogoro unao endelea kukua siku hadi siku unatokana na baadhi ya vigogo ndani ya UKAWA kuanzisha tuhuma nzito juu ya Freeman Mbowe wakimtaka ajiuzuru katika nafasi yake kwa kutumia mabavu kumkaribisha ndani ya chama aliyekua Waziri Mkuu wa Tanzania ndg. Edward N. Suala hili limeendelea kuwagawa Viongozi kadhaa wa ngazi za juu wa UKAWA huku ikipelekea kuitishwa vikao vya kila mara baada ya Kampeni.

Suala la Mgawanyo wa majimbo nalo limeendelea kujenga chuki miongoni mwa Viongozi wanaounda UKAWA hali inayohatarisha uwepo wa UKAWA. Taarifa toka katika kikao cha juzi kilichivunjika baada ya Viongozi wa CUF na NCCR MAGEUZI kutishia kujitoa katika UKAWA kulingana na majimbo yao kivamiwa na wagombea wa CHADEMA. Hali hii ilimfanya Mh. James Mbatia kung'aka na kusema CHADEMA inawachezea akili kwa kuwa mda wa kusimamisha Mgombea urais umepita. Kikao hicho kilivunjika baada ya Viongozi hao wa UKAWA kushambuliana kwa maneno makali sana na kulushiana matusi huku Viongozi wa CHADEMA wakiwataka vyama vinavyohisi vimeonewa wajitoe UKAWA.

Suala la afya ya Mh. Lowasa NI wazi sasa limezidi kuleta mpasuko wa dhahiri ndani ya UKAWA hali iliyofanya kila baada ya Kampeni kikao cha tathimini kutawaliwa na agenda hiyo huku Mbowe akiwekwa lawamani kwa kuwapotosha Viongozi wa UKAWA. Katika kikao cha juzi ilimradhimu Mchungaji Gwajima kuingilia kati kusuruhisha mgogoro ulio ibuka baada ya team nzima ya Kampeni kumjia juu Mwenyekiti wa chadema ndg. Freeman Mbowe. Hii ilikua baada ya kuonekana wazi afya ya ndg. Lowasa kudhoofu siku hadi siku. Moja ya watu alisikika akisema " wakati ameshinda kushika mic pale Dodoma tulikua kimya japo tuliaibika lakini KWA hali aliyo nayo na hili LA kupanda jukwaani akiwa ameshikiliwa itatugjarimu na Mimi sitaki niwe sehemu ya suala hilo"

Kutokana na matukio haya ni wazi kabisa kuw ndani ya wiki mbili zijazo kuna matukio makubwa ya kuhama baadhi ya vigogo ndani ya UKAWA na wakati mwingine baadhi wakitangaza kustaafu siasa ili kujiepusha na aibu na fedheha baada ya Uchaguzi.
Tupo wana mageuzi lakini huyu shetani aliyealikwa lazima apigwe mijeledi!
 
Komandooo kajinyeaa huyo huyo komandoo kajinyea huyo huyooo kubwa lao kajinyea na nguo tuitie moto . Mi naimba tuu jamani nyimbo
Za utotoni
 
Badala ya kukimbilia kukanusha na kukebehi, fanya kautafiti kidogo. Mbatia kakalia kuto kavu. Mzee Makaidi kakataliwa kule Mtwara. Kuna ukawa tena hapo?

UKAWA ipo endelea kujifariji haturudi CCM mwambie huyo uliyempiga maneno hayo unafikiri hiki ni chuo cha ushirika Moshi au hivi ni viatu vya riziki ?!
Unaishi maisha ya ajabu mchawi wewe
 
Kwenye maombi huwa tunasema Amen(wakristo) na Amin (waiislam)...maanake na Iwe ivooo.....kwa mawazo na fikra za mawazo yako mleta mada.tunasema F.U.CK OFF
 
Kama ilivyotarajiwa na Watanzania wengi ile safari iliyianzishwa na vyama vinne vya siasa nchini Tanzania yaani CHADEMA, CUF, NCCR MAGEUZI na NLD inaelekea ukingoni kutokana na mambo kadhaa wa kadhaa ambayo yameendelea kufukuta ndani ya UKAWA kwa wiki kadhaa sasa. Chanzo cha mgogoro unao endelea kukua siku hadi siku unatokana na baadhi ya vigogo ndani ya UKAWA kuanzisha tuhuma nzito juu ya Freeman Mbowe wakimtaka ajiuzuru katika nafasi yake kwa kutumia mabavu kumkaribisha ndani ya chama aliyekua Waziri Mkuu wa Tanzania ndg. Edward N. Suala hili limeendelea kuwagawa Viongozi kadhaa wa ngazi za juu wa UKAWA huku ikipelekea kuitishwa vikao vya kila mara baada ya Kampeni.

Suala la Mgawanyo wa majimbo nalo limeendelea kujenga chuki miongoni mwa Viongozi wanaounda UKAWA hali inayohatarisha uwepo wa UKAWA. Taarifa toka katika kikao cha juzi kilichivunjika baada ya Viongozi wa CUF na NCCR MAGEUZI kutishia kujitoa katika UKAWA kulingana na majimbo yao kivamiwa na wagombea wa CHADEMA. Hali hii ilimfanya Mh. James Mbatia kung'aka na kusema CHADEMA inawachezea akili kwa kuwa mda wa kusimamisha Mgombea urais umepita. Kikao hicho kilivunjika baada ya Viongozi hao wa UKAWA kushambuliana kwa maneno makali sana na kulushiana matusi huku Viongozi wa CHADEMA wakiwataka vyama vinavyohisi vimeonewa wajitoe UKAWA.

Suala la afya ya Mh. Lowasa NI wazi sasa limezidi kuleta mpasuko wa dhahiri ndani ya UKAWA hali iliyofanya kila baada ya Kampeni kikao cha tathimini kutawaliwa na agenda hiyo huku Mbowe akiwekwa lawamani kwa kuwapotosha Viongozi wa UKAWA. Katika kikao cha juzi ilimradhimu Mchungaji Gwajima kuingilia kati kusuruhisha mgogoro ulio ibuka baada ya team nzima ya Kampeni kumjia juu Mwenyekiti wa chadema ndg. Freeman Mbowe. Hii ilikua baada ya kuonekana wazi afya ya ndg. Lowasa kudhoofu siku hadi siku. Moja ya watu alisikika akisema " wakati ameshinda kushika mic pale Dodoma tulikua kimya japo tuliaibika lakini KWA hali aliyo nayo na hili LA kupanda jukwaani akiwa ameshikiliwa itatugjarimu na Mimi sitaki niwe sehemu ya suala hilo"

Kutokana na matukio haya ni wazi kabisa kuw ndani ya wiki mbili zijazo kuna matukio makubwa ya kuhama baadhi ya vigogo ndani ya UKAWA na wakati mwingine baadhi wakitangaza kustaafu siasa ili kujiepusha na aibu na fedheha baada ya Uchaguzi.

Ha ha ha dah kila kukicha mnaleta uzi wa "hali tete ndani UKAWA" lakini hamna kitu pamoja na mbinu za maccm za kifedhuli lakini mwisho wa yote ni Oktoba 2015.
 
Kama ilivyotarajiwa na Watanzania wengi ile safari iliyianzishwa na vyama vinne vya siasa nchini Tanzania yaani CHADEMA, CUF, NCCR MAGEUZI na NLD inaelekea ukingoni kutokana na mambo kadhaa wa kadhaa ambayo yameendelea kufukuta ndani ya UKAWA kwa wiki kadhaa sasa. Chanzo cha mgogoro unao endelea kukua siku hadi siku unatokana na baadhi ya vigogo ndani ya UKAWA kuanzisha tuhuma nzito juu ya Freeman Mbowe wakimtaka ajiuzuru katika nafasi yake kwa kutumia mabavu kumkaribisha ndani ya chama aliyekua Waziri Mkuu wa Tanzania ndg. Edward N. Suala hili limeendelea kuwagawa Viongozi kadhaa wa ngazi za juu wa UKAWA huku ikipelekea kuitishwa vikao vya kila mara baada ya Kampeni.

Suala la Mgawanyo wa majimbo nalo limeendelea kujenga chuki miongoni mwa Viongozi wanaounda UKAWA hali inayohatarisha uwepo wa UKAWA. Taarifa toka katika kikao cha juzi kilichivunjika baada ya Viongozi wa CUF na NCCR MAGEUZI kutishia kujitoa katika UKAWA kulingana na majimbo yao kivamiwa na wagombea wa CHADEMA. Hali hii ilimfanya Mh. James Mbatia kung'aka na kusema CHADEMA inawachezea akili kwa kuwa mda wa kusimamisha Mgombea urais umepita. Kikao hicho kilivunjika baada ya Viongozi hao wa UKAWA kushambuliana kwa maneno makali sana na kulushiana matusi huku Viongozi wa CHADEMA wakiwataka vyama vinavyohisi vimeonewa wajitoe UKAWA.

Suala la afya ya Mh. Lowasa NI wazi sasa limezidi kuleta mpasuko wa dhahiri ndani ya UKAWA hali iliyofanya kila baada ya Kampeni kikao cha tathimini kutawaliwa na agenda hiyo huku Mbowe akiwekwa lawamani kwa kuwapotosha Viongozi wa UKAWA. Katika kikao cha juzi ilimradhimu Mchungaji Gwajima kuingilia kati kusuruhisha mgogoro ulio ibuka baada ya team nzima ya Kampeni kumjia juu Mwenyekiti wa chadema ndg. Freeman Mbowe. Hii ilikua baada ya kuonekana wazi afya ya ndg. Lowasa kudhoofu siku hadi siku. Moja ya watu alisikika akisema " wakati ameshinda kushika mic pale Dodoma tulikua kimya japo tuliaibika lakini KWA hali aliyo nayo na hili LA kupanda jukwaani akiwa ameshikiliwa itatugjarimu na Mimi sitaki niwe sehemu ya suala hilo"

Kutokana na matukio haya ni wazi kabisa kuw ndani ya wiki mbili zijazo kuna matukio makubwa ya kuhama baadhi ya vigogo ndani ya UKAWA na wakati mwingine baadhi wakitangaza kustaafu siasa ili kujiepusha na aibu na fedheha baada ya Uchaguzi.

Mbona unaandika kama vile una msongo wa mawazo.nenda kalale ukishapumzika utapata akili nzuri ya kuandika vitu vya maana.
 
ungemalizia kuwa hali ni salama ccm basi tukuelewe
 
nimeshapiga sana makimba jukwaani siogopi vitisho

ila siamin katika huu mkutano nimetoa kimba peke yangu

tulikubaliana wote tutoe makimba mbona mmeniacha pekeyangu

leo mmekuwa wasaliti jukwaa la kampeni natoa kimba peke yangu

viva kimba viva oyooooo viva kimba vivaaa
 
Hii ni tatizo la njaa tu.Vumilia jamaa yangu.tuiondoe madarakani ccm.tuweke pembeni njaa zetu.
 
Back
Top Bottom