Hali ni tete ndani ya UKAWA

Hali ni tete ndani ya UKAWA

Hili ni swali gumu sana ambalo mjibuji alihitaji ujasiri wa hali ya juu sana kulijibu
Ni kweli kwenye siasa kuna kejeli za kila namna lakini kwa kiwango hiki tunahitaji kuheshimiana vinginevyo hali itakuwa siyo. Haipendezi hata kidogo, mwenye akili timamu hawezi kuunga mkono upuuzi kama huu
 
Badala ya kukimbilia kukanusha na kukebehi, fanya kautafiti kidogo. Mbatia kakalia kuto kavu. Mzee Makaidi kakataliwa kule Mtwara. Kuna ukawa tena hapo?

UKAWA ni zaidi ya hizi porojo zako
 








Likes Received29
Likes Given0



Join Date : 18th August 2015
Posts : 119
Rep Power : 328
Ukiangalia join date utajua maana yake kwa nini ame post hicho kitu!!!
 
We ni m se nge kweli yani

Ukiwa kwisha hata kama hutaki, mgombea mbovu, umoja hakuna, mbowe kawa dikteta, ilani hamna ..yaaani nyie ni wa kupigwa tu na tutawatandika this time mpaka mjinyee kama jamaa yenu
 
Wooote wahame na waache uongozi,bado tutapigia kura jina EDWARD NGOYAI LOWASSA.
Mabadiliko kwa gharama nafuu na salama
 
Wengi wa wanaukawa majuha sana akili zao kama za nyumbu.
 
Hahaaaaaa japo taarifa ina chumvi nyingi ila UKAWA hawako salama, sidhani kama huu mwezi utaisha bila kusikia mtu kaamua kuchomoka.

Acha wachomoke tu, watakaobaki wataendelea.
 
Endeleeni kujidanganya. Wenzenu wanasonga, uchaguzi ukifika tutawakuta ikulu hao wenye hali tete.
 
Huyu wasap buana..kachoka kutunga propaganda kaamua kurudisha za zamani
 
Bwahahahahahahahahahahahahahahahahahahahaha FISICCM mnatapatapa kwelikweli, kweli huu ndo mwisho wenu.... Kwa mambo mnayofanya ingetakiwa vyama pinzani ndo viwe vinafanya.... ss mmegeuka wapinzani, ni vizuri pia endeleeni kujianda kisaikolojia kuwa wapinzani
 
Badala ya kukimbilia kukanusha na kukebehi, fanya kautafiti kidogo. Mbatia kakalia kuto kavu. Mzee Makaidi kakataliwa kule Mtwara. Kuna ukawa tena hapo?

Hiki kitu cha kijinga nacho kinahitaji utafiti.....ccm mmepanick mpaka hamjielewi.... nothing last forever... October is ur dead end
 
Salam mtabiri wa ukweli wa ANGUKO LA UKAWA WIKI YA MWANZO YA SEPTEMBA ! mIMI NILIFIKIRI LOWASA KURUDI CCM ! kUMBE NI BABA JOSEPHINE ! LETE UTABIRI MWINGINE ! NOKO KULU !
Hahahahahahahaaaaaaaa! Ungeulizwa wewe swali hilo ungejibu vipi?
 
Back
Top Bottom