Hali inaogopesha kidogo kwa maisha ya wananchi Zimbambwe

Si kweli Mugabe aliwapenda wazimbu Nyerere na Mandela angalau waliwapenda watu wao.Ian Smith ndie aliyeijenga zimbu mugabe akaibomoa,mugabe alipigania maslai yake binafsi,ya familia yake na maswaiba wake kina mnangagwa nk.Mugabe aliishi kifalme kwa kujenga mahekalu kuanzia ulaya hadi nchi za Asia aliwaibia fedha wazimbu na kuzificha ulaya.Akuboresha huduma za afya nchini mwake akijua anatibiwa ulaya.Mugabe Hana tofauti na mobutu,bokasa,abacha,na kamuzu banda kuishi kifahari kwa gharama ya kuwafukarisha watu wao.Hakuwa mzalendo zaidi ya Wa kwenye jukwaa.Aliwapora ardhi wananchi wake waliokuwa na uwezo wa kulima kwa mashine wakiuza nje kupata fedha za kigeni na chakula na kuwagawia maswaiba zake wasioweza kulima hata kwa jembe la mkono.Ni heri Zimbu ya Ian Smith iliyojaa amani,ajira,chakula,utajiri nk kuliko zimbu ya mugabe iliyo ufukara,njaa,ukosefu wa amani.
Waafrika tumeshindwa jitawala
No matter how you look at it ... you will still fall into my core issue here.. the well-being of our society... besides different set of ideas are tolerated..free minds makes great ideas..Kudos for your remarks
 
Kila mtu anajua wazungu wana vi interest kwenye hizi less developed country lakini kitendo cha kuwananga majukwaani kwa kiswahili kuwaita majina mabaya kama vile MABEBERU huku na wao wapo hapo hapo kwenye uzinduzi wa mradi ambao wao wamedonate fedha ni kama kumchokoza mtu ambae hataki ugomvi ,jua ipo siku atachoka na hizo choko choko zako na atakutolea uvivu
Tunaweza kwenda nao ki namna ambavyo wasitambue kuwa sisi tunawajua ni wabaya kwetu kwa sababu ni dhahiri kabisa tunawaitaji kuliko hata wanavyotuhitaji sisi.
Wazungu tuwaone beberu machoni ila kuwatamkia wazi wazi ni kama kuwatunishia misuli huku msuli wetu bado mdogo.
Wenzetu wako mbele Sana wana think forward wanadili na issues,awajaanzaitwa Leo hata nyerere kawaita Sana lkn misaada yao akatai na ndio walimuokoa alipotaka pinduliwa.Hawa wanazungumza majukwaani huwa ni kujimwambafy tu mbele ya watu dhaifu waitwao wanyonge huku watoto zao wanasoma ubeberuni.Hawa watu wangekuwa na roho kama zetu tungeshafutika duniani.
 
Impressive note and good presentation.

My doubt is whether we have wise leadership that is able to see tomorrow before it comes to hands.
With the current Mugabe we have right now , we shouldnt hope for something different.
 
Huyu jamaa yetu hapendi kupingwa sasa wazungu hawanaga unafiki kama wa kina Kabudi ndiyo maana jamaa hawapendi sasa hiyo personal conflict na wazungu asiturithishe sisi kwa sababu sisi ndo tutakuwa wahanga wakubwa ya maamuzi ya adui zake.MUNGU WABARIKI WAZUNGU,MUNGU WABARIKI MABEBERU
Hakuna taifa lolote lilishirikiana na mabeberu likawa fukara check Dubai,qatar,hongkong,south Korea,taiwan,Malaysia,nk.Kwann madikteta uwachukia mabeberu sababu wanaogopa demokrasia
 
Point
Wenzetu wako mbele Sana wana think forward wanadili na issues,awajaanzaitwa Leo hata nyerere kawaita Sana lkn misaada yao akatai na ndio walimuokoa alipotaka pinduliwa.Hawa wanazungumza majukwaani huwa ni kujimwambafy tu mbele ya watu dhaifu waitwao wanyonge huku watoto zao wanasoma ubeberuni.Hawa watu wangekuwa na roho kama zetu tungeshafutika duniani.
 
Huyu jamaa yetu hapendi kupingwa sasa wazungu hawanaga unafiki kama wa kina Kabudi ndiyo maana jamaa hawapendi sasa hiyo personal conflict na wazungu asiturithishe sisi kwa sababu sisi ndo tutakuwa wahanga wakubwa ya maamuzi ya adui zake.MUNGU WABARIKI WAZUNGU,MUNGU WABARIKI MABEBERU
 
Si kweli Mugabe aliwapenda wazimbu Nyerere na Mandela angalau waliwapenda watu wao.Ian Smith ndie aliyeijenga zimbu mugabe akaibomoa,mugabe alipigania maslai yake binafsi,ya familia yake na maswaiba wake kina mnangagwa nk.Mugabe aliishi kifalme kwa kujenga mahekalu kuanzia ulaya hadi nchi za Asia aliwaibia fedha wazimbu na kuzificha ulaya.Akuboresha huduma za afya nchini mwake akijua anatibiwa ulaya.Mugabe Hana tofauti na mobutu,bokasa,abacha,na kamuzu banda kuishi kifahari kwa gharama ya kuwafukarisha watu wao.Hakuwa mzalendo zaidi ya Wa kwenye jukwaa.Aliwapora ardhi wananchi wake waliokuwa na uwezo wa kulima kwa mashine wakiuza nje kupata fedha za kigeni na chakula na kuwagawia maswaiba zake wasioweza kulima hata kwa jembe la mkono.Ni heri Zimbu ya Ian Smith iliyojaa amani,ajira,chakula,utajiri nk kuliko zimbu ya mugabe iliyo ufukara,njaa,ukosefu wa amani.
Waafrika tumeshindwa jitawala
Huyu hana tofauti kabisa na yule wa magogoni
 
Hizo streets Mugabe kazikuta. Hayo majengo kayakuta. Yeye alichofanya ni kuvuruga na kupora wazungu mali walizotafuta kwa jasho akijaribu kugawa kwa watu wasiojua gharama na thamani ya hivyo vitu.

Kama alivyofanya Nyerere hapa kuwapora wazungu mali zao na kuwapa waswahili wakaishia kuua vitu kama ranchi nk.
 
Hiyo story yako ningeomba aisome jamaa fulani kwa sababu uelekeo wetu ndo huko.Kama unawachukia mabeberu fanya hiyo vita kivyako usitushirikishe wala kuturithisha hiyo vita wananchi kwa sababu mambo yakiharibika wataoteseka ni sisi wananchi huku wewe unakula milo yote mitatu. Tuache kutunishiana misuli live live na mataifa makubwa hatuna mbavu hizo tusijidanganye.

Hujawahi kumuona Kabudi akiongea, anaamini Tanzania ina nguvu sana ndio maana utasikia anawapandishia kifua, kisa anapakia VX na kipato kizuri hivyo amepata upofu kwamba nchi hii ni tajiri.
 
Kama alivyofanya Nyerere hapa kuwapora wazungu mali zao na kuwapa waswahili wakaishia kuua vitu kama ranchi nk.
Watawala Wa kiafrica walifanya makosa makubwa Sana baada ya uhuru kwa kufuata sera za ujamaa ndio chanzo cha ufukara Wa mwafrika.Wakati wa ukoloni Africa ilifata mfumo Wa ubepari na ndio msingi Wa maendeleo yote yaliyokuwepo kuifanya Africa ikimbie kimaendeleo tofauti na baada ya uhuru imerudi nyuma sana kimaendeleo.Kabla ya uhuru waafrika nao walimiliki mali watakavo mkoloni akuwa na shida bora ulipe tu kodi.Chanzo ni mwalimu baada ya kutoshaurika ndipo alipoanzawapora watu mali zao kwa njia za utaifishaji huku akiwakaririsha watu kuwa tajiri ni dhambi ni unyonyaji,hivo tukajengewa misingi ya kwamba uzalendo ni kuwa masikini.Matajiri wengi wazawa walianza tena kuchomoza enzi za mwinyi,
 
Back
Top Bottom