Hali inaogopesha kidogo kwa maisha ya wananchi Zimbambwe

Kabulala

JF-Expert Member
Oct 13, 2019
695
935
Hello Everyone..

Nilipata bahati ya kutembelea Zimbabwe baada ya kuisikia katika mijadara mingi ya kimataifa (mostly Kwa mabaya).

First impression ilikuwa tofauti na fikira zangu za siku zote. Zimbabwe imejengwa vizuri Sana, madege makubwa, airport ya kisasa na miundombinu ya kutamani.

Nikaingia kitaa nikaanza ku-mingle na vagari(citizens), kwakweli hali ni mbaya mno. Wanaishi kama watoto yatima waliohachiwa hekalu linalodaiwa land rent, electric and water bills na hati ya jumba hilo iko benki kwa mkopo wa mabilioni ya fedha

Hakuna ajira na hawana hata senti ya kununulia mahitaji ya lazima(the experience is unbearable).

Katika kusoma historia na kumfuatilia the late R.Mugabe unaweza kuona kabisa jinsi alivyokuwa anapenda watu wake ndio wafaidike na matunda ya Zimbabwe the gesture was and is still NOBLE but the approach was and still DISASTROUS.

Aliijenga Zim ikawa kama Ulaya kwa every cent kadri alivyoipata ili kuwaaminisha wazim kuwa wanajiweza kwa kila kitu but akasahau kuwa empower wazim ili mambo yote niliyoyataja hapo juu yawe sustainable as the result mambo yakaanza kustuck wazim hawana incomes za uhakika, production iko chini sana,migodi imeanza kuwa caves, shelves hazina chakula, airports ziko empty, sokoni hakuna chakula, na highways ziko traffic free.

Zims ni watu wakarimu Sana na wako very hopeful lakini wana simanzi nyingi Sana mioyoni mwao.

Rai yangu kwa kila mmoja wetu kuanzia family level mpaka huko juu chonde chonde tufanye mambo yatakayoleta tija katika jamii zetu, usikimbilie kujenga mahekalu na kuendesha mavogue na ukasahau kuiwezesha (empower)familia/jamii.

I just hope Zims will turn it around but the rest of us should be aware Zim did not just wake up and find itself in a mess.

It was a process that took many years to perfect. It is always nice and kind to plan for your grandchildren but please show that you also care to your children(they matter now) so that they can happily make your dream a reality. PEACE AND LOVE.

Note: We are a group of people who have different ideas and minds, let's accommodate each other when it comes to discussing issues.

Feel free to peacefully advise differently.
 
Impressive note and good presentation.

My doubt is whether we have wise leadership that is able to see tomorrow before it comes to hands.
That is exactly where my worries is @
 
Hiyo story yako ningeomba aisome jamaa fulani kwa sababu uelekeo wetu ndo huko.Kama unawachukia mabeberu fanya hiyo vita kivyako usitushirikishe wala kuturithisha hiyo vita wananchi kwa sababu mambo yakiharibika wataoteseka ni sisi wananchi huku wewe unakula milo yote mitatu. Tuache kutunishiana misuli live live na mataifa makubwa hatuna mbavu hizo tusijidanganye.
 
Hizo streets Mugabe kazikuta. Hayo majengo kayakuta. Yeye alichofanya ni kuvuruga na kupora wazungu mali walizotafuta kwa jasho akijaribu kugawa kwa watu wasiojua gharama na thamani ya hivyo vitu.
Well.. ahsante Kwa remark.. kwahiyo wataka kuniambia zile airbus za Zimbabwe zilikuwepo toka enzi za wakoloni?!.. either way,my point here is not to argue on who did what right to deserve credit, my issue here is the well-being of the societies..it sounds even worse to me kama vitu vyote alivikuta na anafanya aliyoyafanya.. please read my thread tena..utanielewa..but thanks for the comment.
 
Hiyo story yako ningeomba aisome jamaa fulani kwa sababu uelekeo wetu ndo huko.KAMA UNAWACHUKIA MABEBERU FANYA HIYO VITA KIVYAKO USITUSHIRIKISHE WALA KUTURITHISHA HIYO VITA WANANCHI KWA SABABU MAMBO YAKIHARIBIKA WATAOTESEKA NI SISI WANANCHI HUKU WEWE UNAKULA MILO YOTE MITATU. TUACHE KUTUNISHIANA MISULI LIVE LIVE NA MATAIFA MAKUBWA HATUNA MBAVU HIZO TUSIJIDANGANYE.
Dunia ya SASA ni vigumu Sana kusema unaweza kila Jambo mwenyewe..kushirikiana ndio suruhisho.. what is required ni umakini tuu..huwezi sema namchukia mchina wakati kila kukicha unamtumia pesa akuletee pencil,daftari na chaki ili umfundishie mwanao.
 
Sawa sisi tumeona. Je, wengine wameona? Naomba kwa Mungu wawe wameona na baadae wazingatie. Hivi inakuwaje ukambebesha punda mzigo wa vinoo vya dhahabu?
 
Hizo streets Mugabe kazikuta. Hayo majengo kayakuta. Yeye alichofanya ni kuvuruga na kupora wazungu mali walizotafuta kwa jasho akijaribu kugawa kwa watu wasiojua gharama na thamani ya hivyo vitu.
Yeees mkuu Zimbabwe imepata uhuru mwaka 1980..wakati huo ilikuwa imeshajengwa vizuri mno na wazungu..

Mugabe akaanza kuwavuruga taratibu mwisho akawanyang'anya mali zao na kuwapa watu anaowaita wapigania uhuru..teh teh teh...hapo ndio movie ya kihindi ilipoanzia..yaani wanasoma namba zote hadi za kirumi...Inabidi watubu kwa walichowafanyia mabeberu!
 
Si kweli Mugabe aliwapenda wazimbu Nyerere na Mandela angalau waliwapenda watu wao.Ian Smith ndie aliyeijenga Zim, Mugabe akaibomoa. Mugabe alipigania maslahi yake binafsi,ya familia yake na maswaiba wake kina Mnangagwa nk.

Mugabe aliishi kifalme kwa kujenga mahekalu kuanzia ulaya hadi nchi za Asia aliwaibia fedha wazimbu na kuzificha ulaya.Akuboresha huduma za afya nchini mwake akijua anatibiwa ulaya.

Mugabe Hana tofauti na Mobutu,Bokasa,Abacha na Kamuzu Banda kuishi kifahari kwa gharama ya kuwafukarisha watu wao.Hakuwa mzalendo zaidi ya Wa kwenye jukwaa.

Aliwapora ardhi wananchi wake waliokuwa na uwezo wa kulima kwa mashine wakiuza nje kupata fedha za kigeni na chakula na kuwagawia maswaiba zake wasioweza kulima hata kwa jembe la mkono.

Ni heri Zim ya Ian Smith iliyojaa amani,ajira,chakula,utajiri nk kuliko Zim ya Mugabe iliyo ufukara,njaa,ukosefu wa amani.

Waafrika tumeshindwa jitawala
 
Hiyo story yako ningeomba aisome jamaa fulani kwa sababu uelekeo wetu ndo huko.Kama unawachukia mabeberu fanya hiyo vita kivyako usitushirikishe wala kuturithisha hiyo vita wananchi kwa sababu mambo yakiharibika wataoteseka ni sisi wananchi huku wewe unakula milo yote mitatu. Tuache kutunishiana misuli live live na mataifa makubwa hatuna mbavu hizo tusijidanganye.

Hakuna taifa lolote lilishirikiana na mabeberu likawa fukara check Dubai,qatar,hongkong,south Korea,taiwan,Malaysia,nk.Kwann madikteta uwachukia mabeberu sababu wanaogopa demokrasia
 
Kila mtu anajua wazungu wana vi interest kwenye hizi less developed country lakini kitendo cha kuwananga majukwaani kwa kiswahili kuwaita majina mabaya kama vile MABEBERU huku na wao wapo hapo hapo kwenye uzinduzi wa mradi ambao wao wamedonate fedha ni kama kumchokoza mtu ambae hataki ugomvi ,jua ipo siku atachoka na hizo choko choko zako na atakutolea uvivu

Tunaweza kwenda nao ki namna ambavyo wasitambue kuwa sisi tunawajua ni wabaya kwetu kwa sababu ni dhahiri kabisa tunawaitaji kuliko hata wanavyotuhitaji sisi.

Wazungu tuwaone beberu machoni ila kuwatamkia wazi wazi ni kama kuwatunishia misuli huku msuli wetu bado mdogo.
Dunia ya SASA ni vigumu Sana kusema unaweza kila Jambo mwenyewe..kushirikiana ndio suruhisho.. what is required ni umakini tuu..huwezi sema namchukia mchina wakati kila kukicha unamtumia pesa akuletee pencil,daftari na chaki ili umfundishie mwanao.
 
Well.. ahsante Kwa remark.. kwahiyo wataka kuniambia zile airbus za Zimbabwe zilikuwepo toka enzi za wakoloni?!.. either way,my point here is not to argue on who did what right to deserve credit, my issue here is the well-being of the societies..it sounds even worse to me kama vitu vyote alivikuta na anafanya aliyoyafanya.. please read my thread tena..utanielewa..but thanks for the comment.
Kumiliki airbus sio maendeleo,hakuna alichojenga mugabe nje ya kutumbua alivovikuta
 
Back
Top Bottom