Hali inaogopesha kidogo kwa maisha ya wananchi Zimbambwe

Yaani kikubwa ambacho nimekiona kwa waafrika wengi ni kuwa tulipata uhuru wa kujitawala kama nchi lakini fikra bado ni za kitumwa sana na hapa ndio penye mzizi wa tatizo letu.
Bwana Liondo naomba ufafanuzi kwamba unitofautishie kati ya hizo fikra za kitumwa ( ambazo kwa maoni yako ndio waafrika wengi tunazo) vs fikra mbadala wa hizo za kitumwa.
 
Mugabe was a genious, he could see things differently, he knew the world order with its core point of Democracy meant peace worldwide but with terrible adverse effects on developing countries, He did his part during his time, he was overwhelmed by the world order through propaganda. Even though some scholars think JPM is misleading the nation, I remain of a different opinion, I do think he is a genious who dare think outside the current order. With support of this era, the information era, where propaganda is no longer that much overwhelming, I do think he could help our nation cross the red line that is harsh for the developing nations.
Kuna uzi upo humu kuna jamaa alisema Magu aliomba vikwazo vitolewe zimbabwe ila naona kama vitahamia Bongo
 
Mimi fikra zangu ni kubwa kuliko wazungu wako. Wewe endelea kuwaabudu!
Hii ndio shida yenu nyie watu mnataka kutuaminisha kwamba IQ zenu na akil zenu ni kubwa sana ila mnashindwa hata kujenga hoja za ukubwa wa akili zenu. Mnashindwa hata kuandika sentensi kumi zilizoshiba mawazo chanya zaid ya kusema magufuli chapa kazi,wapinzani na majizi mtakoma. Jenga hoja kwa nn waafrika wanamentality za kitumwa ta cheche nini kiwe mbadala.
 
Dunia ya SASA ni vigumu Sana kusema unaweza kila Jambo mwenyewe..kushirikiana ndio suruhisho.. what is required ni umakini tuu..huwezi sema namchukia mchina wakati kila kukicha unamtumia pesa akuletee pencil,daftari na chaki ili umfundishie mwanao.

Thread nzuri na inafundisha mengi, ila Mkuu, ungegombea kwenye uchaguzi wa serikali za mitaa, jamaa wangekula kichwa. 'r na l'
 
Zimbabwe imejengwa na wazungu acha uongo
Kweli kabisa. Karibu mambo yote mazuri yanayoonekana Zimbabwe yalifanywa na walowezi wazungu waliokuwa wanalima kisasa.
Kilichoimaliza ni sera mbaya.
Mugabe aliwanyang'anya ma-setller mashamba na kuwakabidhi wazalendo; wakabweteka. Wakashindwa kumudu mashamba na kuzalisha mazao ya chakula na biashara. Hiyo ndiyo iliyokuwa hatua ya kwanza ya kuporomoka uchumi. Zimbabwe ikawekewa vikwazo na nchi za Magharibi. Robert akawa 'ngangari'.
Ufisadi ukakua kwa kasi. Mkewe, Grace, akamtawala. Mambo yakaendelea kumharibikia. Hitimisho la utawala wake wa karibu miongo minne liletwa na kung'ang'ania madarakani ilihali amezeeka kiasi cha kuishiwa nguvu za kuongoza! Hakutaka kusikia habari ya vyama vya upinzani. "Alishinda" chaguzi zote.
 
Hivyo vitu vinajengwa na watu au vitu?

Economically speaking, building your human resources is paramount.

How will you introduce innovation, economic use of natural resources, accountability, inclusivity etc if you do not emphasize building your human resources first?

Nyerere aliongelea umuhimu wa hili sana, aka define maendeleo kwamba si kujenga mabarabara na majumba, kwamba maendeleo ni kuwapa wananchi uwezo wa kujikwamua kutoka hali zao, serikali kuwa inclusive.

This is the exact opposite of what msemaji wa serikali is saying.

It is as if Msemaji wa Serikali is not familiar with our history!

Kuna video moja ya Nyerere inazunguka akitilia mkazo point hii. Uzuri wa Nyerere ni kwamba alikuwa prolifix enough kuongelea mambo yanayo matter leo, wakati wa uhai wake.

Msemaji wa serikali kusema kwamba serikali inajenga vitu kwanza, kimsingi anapingana na vision ya waasisi wa nchi hii kina Nyerere, na enlightenment philosophy yote, na tamaduni za Kiafrika zote, ambazo Nyerere alichota busara zake kutoka humo.

Unkess wanaandika vitu kuelezea wanavyotaka kufanya kama alivyoandika Nyerere, mimi nawaona wazushi tu.

Granted, Nyerere naye alikuwa na makosa yake, lakini angalau alikuwa coherent, alieleea anataka kufika wapi, kivipi.

Hii serikali yetu ya leo hata haijui inataka kufanya nini.

Inajinadi kwamba ninserikali ya masikini, inafuatisha urithi wa Nyerere, lakini hapo hapo ukisikiliza na kuangalia vizuri unaona inazika ndoto za Nyerere.

Nyerere alifundisha watu kusoma mpaka wazee, tulikuwa na elimu ya watu wazima. Bibi yangu kazaliwa 1920 kafundishwa kusoma elimu ya watu wazima na Nyerere mpaka kaweza kusoma Biblia mwenyewe. Kioindi cha Nyerere Tanzania tuliongiza kwa literacy. Sasa hivi rate ya literacy Tanzania imeshuka chini zaidi ya kipindi cha Nyerere.

Watanzania wasiojua kusoma na kuandika wamekuwa ni wa asilimia nyingi sasa hivi kuliko kioindi cha Nyerere.

Sasa katika population ya hawa watu wasiojua kusoma na kuandika (na wenye Ph.D feki ambao ukiwasikiliza tu unaona hii Ph.D ni kituko) ndiyo unataka kujenga vitu?
Ukiangalia nchi kama malaysia,indonesia,singapore,japani na nchi nyingne ambazo kiuchumi nikubwa mara hata 100 kutuzidi hawana rasilimali vitu nyingi kama sisi isipokuwa wao wanarasilimali watu zenye weredi wa kutosha kubadirisha chuma kuwa ndege,meli,visu,vijiko,sahani,kubadirisha magogo ya miti kuwa mabati mazuri sana nk maendeleo ni watu na sio watu
 
Kwani kumnukuu mtu ambaye hakuambilika dhambi?

Can you chew gum and walk?

JPM kashaangusha mapato ya exports bidhaa za kilimo kwa 55% ndani ya mwaka mmoja, kashapandisha nauli za ndege kwa kuua competition.

Bado unamshangilia?

Kavunja katiba left, right and center. Bado unamshangilia?

Mpaka alete summary execution squad kukuua utamshangilia bado?
Huyo achana nae huu uzi sio levo yake anafikiria ni uzi wa mipasho na chadema. Na hao ndio wakobize kujiona waakili kubwa sana kuzidi watanzania wengi kwa sababu tu kula yao na lala yao inatoka kwa huyo Magufuli wao
 
Na nafikiri tusiwanyooshe sana vidole hao viongozi wetu wa kiafrika kwani wametokea wapi? Ni sehemu yetu ni watu waliolelewa na kukulia malezi yetu hivyo wao ni sample inayowakilisha population nzma. Sasa basi inakuwaje tunapopeleka sample ya kutuwakilisha tunapeleka Sample ambayo ni mbaya tatizo liko wapi

Ttzo ni mfumo usiowawajibisha viongozi wakiukapo viapo vyao,laiti wangekuwa wakiozea jela baada ya utumishi tungepata viongozi bora
 
Wizara ya Uchukuzi na Mawasiliano, wizara ya viwanda na biashara, wizara ya kilimo umwagiliaji na uvuvi, nendeni mkatizame fursa huko.

Tunaeeza kuwasaidia kwa faida.
 
Mtu mwenye njaa hawezi kufikiri vyema na hata kama fikra yake ni njema yeye mwenyewe atakuwa wa mwisho kuiamini fikra yake. Sasa basi serikali zetu za kiafrika ziwekeze sana kwenye afya ya mwili na akili,elimu bora,chakula na mahitaji mengine ambayo ni basic kwanza then mengine yanajileta tu.
Iko hivi kwann watawala Wa kiafrika upenda ongozi za kijamaa na kidikteta ni kwa sababu ndizo fumo za uongozi ziwasaidiazo kukaa mda mrefu madarakani.Wao wanaamini ukitaka kuwatawala watu wafanye kuwa masikini watawala wa kiafrica wako salama zaidi wakitawala masikini tofauti na jamii za weupe.
 
Ukiangalia nchi kama malaysia,indonesia,singapore,japani na nchi nyingne ambazo kiuchumi nikubwa mara hata 100 kutuzidi hawana rasilimali vitu nyingi kama sisi isipokuwa wao wanarasilimali watu zenye weredi wa kutosha kubadirisha chuma kuwa ndege,meli,visu,vijiko,sahani,kubadirisha magogo ya miti kuwa mabati mazuri sana nk maendeleo ni watu na sio watu
Sisi tunashangilia ndege zilizonunuliwa kinyemela ambazo zinapandisha nauli za usafiri kwa njia ya anga kwanza!
 
Huyo achana nae huu uzi sio levo yake anafikiria ni uzi wa mipasho na chadema. Na hao ndio wakobize kujiona waakili kubwa sana kuzidi watanzania wengi kwa sababu tu kula yao na lala yao inatoka kwa huyo Magufuli wao
Kuna watu wanajaza logical non sequitur juu ya logical non sequitur mpaka hata kunyambua vichwa vyao vinavyofikiri inakuwa shida.

Ni kama wanatoka sayari nyingine.
 
Zimbu ni kiwakilishi na madhara ya mfumo Wa ujamaa na udikteta,pasipo na demokrasia huwa hakuna maendeleo.Chukulia mfano ethiopia madikteta wao walikazania maendeleo ya vitu kwanza badala ya watu kwanza kisha vitu miradi yao mingi ilikuwa ni ya kisiasa zaidi kama vipaumbele vya viongozi na si vya wananchi.Pamoja na vyote madege,sgr nk bado havijaweza ondoa njaa nchini.Vipaumbele vya wananchi ni kushiba kwanza vingine vifuate.Maendeleo yeyeto yasiyogusa watu wa chini ni bure.Tungewaiga hata wakoloni wao waliona maendeleo sahihi ni maendeleo ya watu kwanza.
 
Nimegundua huna unachokijua kuhusu zimbabwe na inawezekana hata hujafika zimbambwe

Nimekupuuza
Well.. ahsante Kwa remark.. kwahiyo wataka kuniambia zile airbus za Zimbabwe zilikuwepo toka enzi za wakoloni?!.. either way,my point here is not to argue on who did what right to deserve credit, my issue here is the well-being of the societies..it sounds even worse to me kama vitu vyote alivikuta na anafanya aliyoyafanya.. please read my thread tena..utanielewa..but thanks for the comment.
 
Nilitegemea ungeChallange alichoandika kama kadanganya au la! nilichoelewa nikweli jamaa yenu anaua Nchi we na wenzio mnashangilia
Werevu tu ndio wanaokuwa marais, wakisha shika nchi wanafanya wanayoyafanya, wewe utabaki kulialia kama kasuku na siku zako zikiisha utalaumu hadi tone la damu likutoke na utakuwa unategemea huruma yao.
 
Nilitegemea ungeChallange alichoandika kama kadanganya au la! nilichoelewa nikweli jamaa yenu anaua Nchi we na wenzio mnashangilia

Hayo ni mawazo yako finyu, soma majibizano yangu na huyo mwandishi kabla hujafikia conclusion, kufanya hivyo utakuwa hujitendei haki. Wapo wengi tu kama wewe ambao walifikiri Zimbabwe ilijengwa na Jongwe oops RG Mugabe. The fact will remain Ian Smith ndiye alijenga Zimbabwe kwa kusaidiwa kiasi kikubwa na UK wakishirikiana na South Africa. RG Mugabe aliongeza kidogo lakini foundation ya ile nchi ilifanywa na Ian Smith. Vile vile ni sawa watu kufikiria kwamba R G Mugabe was father of nation (Zimbabwe) ukweli ni kwamba the father of that nation was Joshua Nkomo. Sasa kuna mambo ambayo ukweli lazima usemwe whether you like it or not, stay tuned.
 
Sio Zims tu! Hata Bongoland kuna maeneo kabla ya uhuru yalikuwa na maendeleo makubwa kuliko hali ilivyo sasa.
Ikiwezekana kubadilishana mataifa kati ya taifa lolote la kiafrika na Uingireza, baada ya muongo mmoja wafrika waliohamia Ulaya wataaza kuomba misaada wazungu waliohamia Africa.
Prof. Wangare Mathai iandika vyema kwenye The Challenge of Africa
 
Back
Top Bottom